“Kila mumoja wenu anapaswa kumupenda bibi yake kama vile anajipenda mwenyewe; [na] bibi anapaswa kumuheshimia sana bwana yake.”—Waefeso 5:33.
Biblia inasema kama
-
Bwana anapaswa kuwa muaminifu kwa bibi yake na bibi anapaswa kuwa muaminifu kwa bwana yake.—Matayo 19:4-6.
-
Batoto benye kuheshimia na kutii bazazi batapata faida za mingi.—Waefeso 6:1-3.
Kama unapenda kujua mambo ya mingi, fungula jw.org.

