MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 10, 2013 | Biblia Inazungumuzia Habari Gani?

Biblia inatuambia namna uzima wa wanadamu ulianza duniani na namna Mungu alifanya mipango ya kukomboa wanadamu kupitia Masiya.

HABARI KUBWA

Sababu Gani Unapaswa Kupendezwa na Biblia?

Biblia inajieleza kuwa kitabu kinachozungumuza juu ya Mungu na pia kilichotoka kwa Mungu. Unaweza kujifunza nini kutokana na Biblia?

HABARI KUBWA

Uzima Wetu Ulianza Namna Gani Duniani?

Kwa kifupi na katika maneno machache, Mwanzo, kitabu cha kwanza cha Biblia kinaeleza namna ulimwengu ulivyoanza. Ni mambo gani mengine tunaweza kujifunza kutokana na kitabu cha Mwanzo?

HABARI KUBWA

Mungu Anafanya Mipango ili Kukomboa Wanadamu

Ahadi ambayo Mungu alimupa Abrahamu inamuhusu Masiya namna gani? Jifunze namna Mungu atawakomboa wanadamu kutokana na magonjwa, mateso, na kifo.

HABARI KUBWA

“Tumeona Masiya”!

Watu wengi wanaamini kwamba Yesu ndiye Masiya aliyeahidiwa. Wengine hawaamini hivyo. Chunguza mambo ambayo Biblia inasema.

HABARI KUBWA

Habari Njema kwa Watu Wote

Namna gani ujumbe wa Mungu kwa wanadamu ulio katika Biblia unaweza kukufaidi leo na pia wakati unaokuja?

Kuendelea na Maisha Kisha Ndoa Kuvunjika

Karibu watu wote wanaovunja ndoa wanatambua kwamba maisha yanakuwa magumu kisha kuvunja ndoa tofauti na vile walikuwa wanatazamia. Mashauri mazuri ya Biblia yanaweza kukusaidia upambane vizuri.

MUKARIBIE MUNGU

“Yehova Aliwasamehe kwa Hiari”

Mungu yuko tayari kuwasamehe wafanya-zambi wenye kutubu. Hilo linapaswa kutusaidia tuwatendee wengine namna gani? Sababu gani musamaha ni jambo la lazima sana?

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

“Watu Wengi Walinichukia”

Jifunze namna kujifunza Biblia kulimusaidia mutu mukali sana awe mutu mwenye amani.

Namna Rangi Inavyoweza Kukuchochea

Rangi zinaweza kugusa mioyo ya watu. Fikiria rangi tatu na namna zinaweza kuwa na matokeo juu yako.

Maulizo juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Kuna tumaini gani kwa watu waliokufa? Je, wanaweza kuishi tena?

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Sababu Gani Mashahidi wa Yehova Wanahubiri Nyumba kwa Nyumba?

Soma hapa ili ujue mambo ambayo Yesu aliwaambia wafuasi wake wa kwanza-kwanza wafanye.