MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 11, 2013

Namna gani tunaweza kuonyesha kwamba tunasamini uvumilivu wa Mungu tunapongojea wakati ambapo ataharibu ulimwengu huu muovu? Namna gani Yehova na Yesu wanachunga kondoo wao walio duniani?

‘Kesha Kuhusiana na Sala’

Sababu gani Wakristo wa kweli wanapaswa kusali bila kuacha? Ni nani wanaofaidika unaposali kwa ajili ya wengine?

Tuwasaidie Wale Walio Katika Uhitaji?

Jifunze namna michango kwa ajili ya kazi ya Mashahidi wa Yehova inavyotumiwa ili kuwasaidia wale walio katika uhitaji wa kimwili na wa kiroho.

Endelea Kuonyesha ‘Mutazamo wa Kungojea’

Ni matukio gani yatakayoonyesha kwamba mwisho wa ulimwengu huu muovu unakaribia? Namna gani tunaweza kuonyesha kwamba tunasamini uvumilivu wa Mungu?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Kumutumikia Mungu Ndiyo Dawa Yake!

Onesmus alizaliwa na ugonjwa unaofanya mifupa iwe zaifu. Namna gani ahadi ya Biblia imemutia moyo?

Ni Nani Walio Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Leo?

N nini inayoonyesha kwamba Hezekia, Isaya, Mika, & na wakuu wa Yuda walikuwa wachungaji wazuri? Ni nani walio wachungaji saba na watawala wadogo wanane leo?

Tii Wachungaji Ambao Yehova Ametutolea

Wazee wamewekwa na roho takatifu ili kuchunga kutaniko la Mungu. Sababu gani kondoo wanapaswa kuwatii?

Wachungaji, Muige Wachungaji Wakubwa Zaidi

Ndugu ao dada anapohitaji musaada wa kiroho, wazee wanaweza kumutolea musaada gani? Namna gani wazee wanaweza kuwaiga wachungaji wakubwa zaidi, Yehova na Yesu Kristo?

VITU VYA MAANA SANA VYA HISTORIA YETU

“Nilienda na Nyumba Yangu Kila Mahali Kama Kobe”

Mwishoni mwa 1929, kulitokea matatizo makubwa ya feza ulimwenguni pote. Namna gani wahubiri wa wakati wote wangeweza kuhubiri katika kipindi hicho kigumu?