Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Umusifu Yehova juu Iko na Hekima

Umusifu Yehova juu Iko na Hekima

Yehova alimupatia Sulemani hekima ya ajabu (1Fa 10:1-3; w99-SW 1/7 uku. 30 fu. 6)

Hekima yenye Yehova alipatia Sulemani ilifanya malkia wa Sheba abakie kinywa wazi (1Fa 10:4, 5; w99-SW 1/11 uku. 20 fu. 6)

Malkia wa Sheba alimusifu Yehova juu alimuweka Sulemani kuwa mufalme (1Fa 10:6-9; w99-SW 1/7 uku. 30-31)

Sawa vile malkia wa Sheba, namna gani tunaweza kuonyesha kama tunasamini hekima yenye kutoka kwa Mungu? Kwanza, ni kwa kutumikisha mafundisho ya Yesu na kujikaza sana kuiga mufano wake. (Mt 12:42; 1Pe 2:21) Pili, ni kwa kuambia wengine juu ya hekima ya Mungu mu mahubiri.