Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | LUKA 4-5

Umuige Yesu kwa Kupambana na Majaribu

Umuige Yesu kwa Kupambana na Majaribu

Shetani anajaribu kuvunja ushikamanifu wetu kwa Yehova kwa kuchochea tamaa za moyo wetu. Anajaribu ufundi tofauti kuhusu kila mutu, kulingana na namna mutu anajisikia, vitu vyenye anapenda, na hali zake za maisha.

Yesu alitumia silaha gani yenye nguvu ili kupinga majaribu tatu yenye Shetani anazoea kutumia? (Ebr 4:12; 1Yoh 2:15, 16) Namna gani ninaweza kuiga mufano wa Yesu?

  • 4:1-4

    “Tamaa ya mwili”

  • 4:5-8

    “Tamaa ya macho”

  • 4:9-12

    “Kujionyesha”