Ona video zinazopatikana

Tafsiri za Biblia

Kanuni za Kutafsiri Biblia

Kanuni tano kubwa zenye zilifuatwa wakati wa kutayarisha Tafsiri ya Ulimwengu Mupya.

Biblia​—Sababu Gani Ni Nyingi?

Jambo moja la maana litakusaidia kuelewa sababu gani kuko tafsiri mbalimbali za Biblia.

Tumepewa Kazi ya Kutafsiri “Maneno Matakatifu ya Mungu”—Waroma 3:2

Mashahidi wa Yehova wametumia tafsiri nyingi za Biblia katika miaka 100 yenye imepita. Sababu gani walitafsiri Biblia katika Kiingereza cha leo?

Peshitta ya Kisiria—Ni Njia ya Kujua Mengi Juu ya Historia ya Tafsiri za Kwanza-Kwanza za Biblia

Biblia hiyo ya zamani inahakikisha kwamba Biblia fulani za leo zina mistari ambayo haikuwa katika maandishi ya kwanza.

Biblia ya Bedell—Ilisaidia Watu Kuelewa Biblia Muzuri

Kwa miaka 300, watu hawakuwa na tafsiri ingine.

Elias Hutter na Biblia Zake za Kiebrania Zenye Kuvutia

Elias Hutter, mutu mwenye elimu ya Biblia wa miaka ya 1500, alitokeza tafsiri mbili za Kiebrania zenye kuwa za maana kabisa.

Hazina Iliyofichwa kwa Mamia ya Miaka

Jifunze namna tafsiri ya Biblia ya zamani zaidi inayojulikana ya luga ya Kijojia ilivyovumbuliwa.

Kujulisha Neno la Mungu Katika Inchi ya Hispania ya Zamani

Wanafunzi walioandika Maandiko kwenye mabamba ya mawe wanafanana kwa njia gani na watu walioingiza Biblia kisiri katika Hispania?