“KUTOA USHAHIDI KAMILI” JUU YA UFALME WA MUNGU

‘Kufundisha Mbele ya Watu Wote na Nyumba kwa Nyumba’

Kiswahili (Congo)
‘Kufundisha Mbele ya Watu Wote na Nyumba kwa Nyumba’
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102009065/univ/art/1102009065_univ_sqr_xl.jpg
bt uku. 156

SEHEMU YA 7 • MATENDO 18:23–21:17

‘Kufundisha Mbele ya Watu Wote na Nyumba kwa Nyumba’

‘Kufundisha Mbele ya Watu Wote na Nyumba kwa Nyumba’

MATENDO 20:20

Juu ya nini tunapaswa kuwa wanyenyekevu na kujipatanisha na hali wakati tuko nafundisha wengine? Njia kubwa ya kuhubiri habari njema ni gani? Namna gani tunaweza kuonyesha kama kufanya mapenzi ya Mungu njo jambo ya maana zaidi kuliko kufanya mambo yenye tunapenda? Habari kuhusu safari ya umisionere ya mwisho ya Paulo itatusaidia kujibia ile maulizo ya maana.