“Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu

Hii kitabu inazungumuzia namna kutaniko ya Kikristo ya wakati wa mitume ilianza na namna tunaweza kufaidika na ile habari leo.

Karte

Karte zenye kuonyesha eneo yenye leo inaitwa Eneo Takatifu na kwenye Paulo alipitia mu safari zake za umisionere.

Barua Kutoka kwa Baraza Yenye Kuongoza

Juu ya nini tunaweza kuwa hakika kama Mungu atatutegemeza wakati tunaendelea “kutoa ushahidi kamili” juu ya Ufalme wa Mungu?

SURA YA 1

“Muende, na Mufanye Wanafunzi”

Yesu alitabiri kama ujumbe wa Ufalme ungepaswa kuhubiriwa kwa watu wa mataifa yote. Ile iko inatimia namna gani?

SURA YA 2

“Mutakuwa Mashahidi Wangu”

Namna gani Yesu alitayarisha wanafunzi wake ili wasimamie kazi ya kuhubiri?

SURA YA 3

“Wakajazwa Roho Takatifu”

Namna gani roho takatifu ya Mungu ilisaidia kuanzisha kutaniko ya Kikristo?

CHAPTER 4

“Watu Wenye Hawana Elimu na Watu wa Kawaida”

Mitume wanatenda kwa uhodari na Yehova anawabariki.

SURA YA 5

“Tunapaswa Kumutii Mungu Kuwa Mutawala”

Kumutii Mungu Kuwa Mutawala Kuliko Wanadamu.

SURA YA 6

Stefano​—“Akiwa Amekubaliwa na Mungu na Akiwa Amejaa Nguvu”

Namna Stefano alitoa ushahidi kwa uhodari mbele ya Sanhedrini inatufundisha mambo gani ya maana?

SURA YA 7

Kutangaza “Habari Njema juu ya Yesu”

Filipo mweneza-injili alituwekea mufano muzuri.

SURA YA 8

Kutaniko “Likaingia Katika Kipindi cha Amani”

Sauli mwenye alikuwa natesa sana wanafunzi wa Kristo anakuwa muhubiri mwenye bidii.

SURA YA 9

“Mungu Hana Ubaguzi”

Wakristo wanaanza kuhubiria Watu wa Mataifa wenye hawatahiriwe.

SURA YA 10

“Neno la Yehova Likaendelea Kuongezeka”

Petro anakombolewa, na mateso haifanye habari njema iache kuenea

SURA YA 11

“Kujaa na Furaha na Roho Takatifu”

Mufano wa Paulo juu ya namna ya kutenda wakati tunakutana na wapinzani na watu wenye hawapendezwe na habari njema.

SURA YA 12

‘Kusema Bila Woga kwa Mamlaka ya Yehova’

Paulo na Barnaba walionyesha unyenyekevu, uvumilivu, na uhodari.

SURA YA 13

Kisha . . . Kukosa Kupatana”

Tatizo ya kutahiriwa inapelekwa mbele ya baraza yenye kuongoza.

SURA YA 14

“Tumefikia Uamuzi Mumoja”

Namna baraza yenye kuongoza ilikamata uamuzi wa maana na namna ule uamuzi ulifanya mu kutaniko mukuwe umoja.

SURA YA 15

‘Kutia Makutaniko Nguvu

Watumishi wenye kusafiri wanasaidia makutaniko ili ikuwe na imani yenye nguvu.

SURA YA 16

“Vuka Uingie Makedonia”

Kukubali mugao na kuvumilia kwa furaha kulileta baraka mingi.

SURA YA 17

“Akafikiri Nao kwa Kutumia Maandiko”

Paulo anatoa ushahidi kwa ukamili kwa Wayahudi katika Tesalonike na Beroya.

SURA YA 18

“Wamutafute Mungu, . . . na kwa Kweli Wamupate”

Juu Paulo alizungumuzia jambo yenye yeye na wasikilizaji wake walikubaliana, alipata nafasi gani ya kuhubiri?

SURA YA 19

“Uendelee Kusema na Usinyamaze”

Mambo yenye Paulo alifanya Korinto inaweza kutufundisha nini yenye itatusaidia kutoa ushahidi kwa ukamili kuhusu Ufalme wa Mungu?

SURA YA 20

“Likaendelea Kuongezeka Na Kuwa Lenye Nguvu Zaidi” Hata Kama Kulikuwa Upinzani

Ona namna Apolo na Paulo walichangia kueneza habari njema.

SURA YA 21

“Niko Safi Kutokana Na Damu ya Watu Wote”

Paulo iko na bidii mu mahubiri na anapatia wazee mashauri.

SURA YA 22

“Mapenzi ya Yehova yatendeke”

Juu Paulo aliazimia kufanya mapenzi ya Mungu, alienda Yerusalemu.

SURA YA 23

“Musikilize . . . Namna Ninajitetea”

Paulo anatetea imani yake mbele ya vikundi vya watu wenye kasirani na mbele ya Sanhedrini.

SURA YA 24

“Usiogope!”

Paulo anaponyoka mupango wa kumuua na anajitetea mbele ya Gavana Feliksi.

SURA YA 25

“Ninapeleka kesi yangu ya hukumu kwa Kaisari!”

Paulo anatuachia mufano wa kutetea habari njema.

SURA YA 26

“Hakuna Hata Mumoja Wenu Mwenye Atapotea”

Wakati Paulo anavunjikiwa na mashua, anaonyesha imani kubwa na upendo mukubwa.

SURA YA 27

“Kutoa Ushahidi Kamili”

Paulo mwenye amefungwa katika Roma anaendelea kuhubiri.

SURA YA 28

“Mupaka Kwenye Sehemu ya Mbali Zaidi ya Dunia”

Mashahidi wa Yehova wanaendelesha kazi yenye wafuasi wa Yesu walianzisha mu karne ya kwanza.

Liste ya Picha

Liste ya picha fulani za mu hii kitabu.