Become Jehovah's Friend
Somo la 1: Watoto Muwatii Wazazi Wenu
Sababu gani unapaswa kutii wazazi wako? Angalia video hii na utafute jibu pamoja na Caleb.
Somo la 2: Umutii Yehova
Ni jambo la lazima ufikirie jouets zenye unacheza nazo? Angalia video hii na uone namna Caleb anakuwa rafiki ya Yehova.
Somo ya 3: Sali saa Yote
Hii video unaweza kuichukua ku enternete. Inafundisha watoto saa na fasi kwenye wanaweza kusali kwa Yehova.
Somo la 4: Kuiba Ni Mubaya
Mungu anaona namna gani kuiba? Soma Kutoka 20:15. Angalia video na ujifunze mambo mengi pamoja na Caleb.
Somo la 5: Tuende Mu Mahubiri
Sophie iko tayari kuenda mu mahubiri? Angalia video hii, inaweza kukusaidia ujitayarishe pamoja naye.
Somo la 6: Sema Tafazali na Aksanti
Caleb anajifunza kama kusema maneno hayo kunabadilisha kabisa mambo.
Somo la 7: Kutoa Kunaleta Furaha
Kuko njia nyingi za kupatia wengine. Unafikiria mutu fulani?
Somo la 8: Upange Vitu Muzuri
Yehova amepanga muzuri vitu vyote. Ujifunze namna unaweza pia kupanga vitu muzuri!
Somo la 9: “Yehova . . . Aliumba Vitu Vyote”
Unajua Mungu aliumba nani kwanza? Ujifunze pamoja na Caleb namna vitu vilifuatana wakati wa uumbaji.
Somo la 10: Ukuwe na Roho Muzuri na Upatie Wengine
Ona namna Caleb na Sophie wanapata furaha zaidi wakati wanapatiana vitu vyao.
Somo la 11: Ukuwe Tayari Kusamehe
Utamutendea namna gani mutu mwenye anakukosea?
Somo la 12: Caleb na Sophie Wanatembelea Beteli
Muangalie pamoja na Caleb na Sophie picha za wakati walitembelea Beteli. Ona kazi yenye inafanywa kwenye Beteli.
Somo la 13: Yehova Atakusaidia Ukuwe na Ujasiri
Ni nini itakusaidia upate nguvu ya kuambia wengine mambo ya Yehova?
Somo la 14: Tayarisha Majibu Yako
Ni hatua gani ine za kukusaidia kutayarisha majibu ya kutoa kwenye mikutano?
Somo la 15: Usikilize Wakati wa Mikutano
Sababu gani unapaswa kusikiliza na kujifunza wakati wa mikutano?
Somo la 17: Uwalinde watoto wako
Caleb na Sophie wanapata mashauri ya muzuri juu wajilinde.
Somo la 19: Usikuwe Muchoyo
Kwa sababu watu wa Yehova ni wakarimu, hilo linaleta matokeo gani mazuri?
Somo la 20: Useme Kweli
Sababu gani unapaswa kusema kweli sikuzote?
Somo la 18: Heshimia Nyumba ya Yehova
Namna gani unaweza kuonyesha kama unaheshimia kabisa nyumba ya Yehova ya ibada?
Somo la 21: Ujifunze Kuwa Muvumilivu!
Angalia video ili uone ni nini inamusaidia Caleb kuwa muvumilivu.
Somo la 22: Mwanaume Moja kwa Ajili ya Mwanamuke Moja
Mungu ameweka kanuni gani juu ya ndoa, na sababu gani kanuni hiyo ni ya maana?
Somo la 23: Jina la Yehova
Unajua maana ya jina la Mungu?
Somo la 24: Yehova Aliumba Vitu Vingi vya Kushangaza
Mungu aliumba vitu vingi sana vya kushangaza! Weye unapenda kitu gani?
Somo la 25: Kuanzisha Urafiki
Ni nani anaweza kuwa rafiki yako katika kutaniko?
Somo la 26: Zabihu ya Ukombozi
Namna gani zabihu ya Yesu ya ukombozi inatusaidia tangu sasa?
Somo la 27: Ujiwazie mu Paradiso
Unajiwazia mu dunia mupya?
Somo la 28: Vumilia Hata Kama Unatendewa Bila Haki
Namna gani mufano wa Biblia wa Yosefu unaweza kutusaidia kuvumilia wakati tunatendewa bila haki?
Somo la 29: Ukuwe Munyenyekevu
Caleb anajifunza inamaanisha nini kuwa munyenyekevu.
Somo la 30: Vumilia Wakati Unafiwa
Wakati mutu mwenye tunapenda anakufa, ni nini inaweza kutusaidia kuvumilia?
Somo ya 31: Upende Nyumba ya Yehova
Na weye unasaidiaka kusafisha Jumba la Ufalme?
Somo ya 32: Ujitayarishe na Ujiendeshe Muzuri mu Mahubiri
Mbele uende mu mahubiri, kuko mambo tatu yenye unapaswa kujua.
Somo ya 33: Umufurahishe Yehova
Mambo yenye unafanyaka kila siku inaweza kufurahisha moyo wa Yehova.
Somo la 34: Saidia Wengine
Wakati musiba unatokea, unaweza kufanya nini ili kusaidia?
Somo la 35: Utumie Muzuri Wakati Wako
Wakati ni zawadi kutoka kwa Yehova. Unapaswa kuitumikisha muzuri.
Somo la 36: Nizamu Inaonyesha Upendo
Juu ya nini Yehova anapatia nizamu wale wenye anapenda?
Somo la 38: Umupende Jirani Yako
Unaweza kufanya nini ili kupenda jirani yako kama vile Musamaria mwema alifanya?
Sehemu ya Video Ukuwe Rafiki ya Yehova: Yehova Anasameheaka
Ukuwe tayari kuona vile Caleb anapiganisha jaribu yenye itamupata.
Somo ya 40: Yehova Anasameheaka
Kama tunafanya kosa, tunapaswa kuvunjika moyo? Tuone mambo yenye Caleb anajifunza kupitia hadisi moja ya Biblia.
Sehemu ya Ukuwe Rafiki ya Yehova: Yehova anajibiaka Sala?
Ona namna Yehova anajibia sala za Sofia.
Somo ya 43: Yehova Anajibiaka Sala?
Unaweza kusali kwa Yehova juu ya kumuomba akusaidie, na atakusikiliza.
Somo ya 45: Juu ya Nini Tumutii Mungu na Hatuwezi Kumuona?
Hata kama hatuwezi kumuona Mungu, juu ya nini tunamutii? Tuone namna Sophia anajibia ile ulizo.
Kifupi ya Video Ukuwe Rafiki ya Yehova: Ni Nani Anapaswa Kuwa Rafiki Yangu?
Ona namna Sofia anapata rafiki wa mupya.
Somo ya 47: Ni Nani Anapaswa Kuwa Rafiki Yangu?
Yehova anapenda ukuwe na marafiki, lakini namna gani unaweza kupata marafiki wa muzuri?

