Become Jehovah's Friend

Somo la 1: Watoto Muwatii Wazazi Wenu

Sababu gani unapaswa kutii wazazi wako? Angalia video hii na utafute jibu pamoja na Caleb.

Somo la 2: Umutii Yehova

Ni jambo la lazima ufikirie jouets zenye unacheza nazo? Angalia video hii na uone namna Caleb anakuwa rafiki ya Yehova.

Somo ya 3: Sali saa Yote

Hii video unaweza kuichukua ku enternete. Inafundisha watoto saa na fasi kwenye wanaweza kusali kwa Yehova.

Somo la 4: Kuiba Ni Mubaya

Mungu anaona namna gani kuiba? Soma Kutoka 20:15. Angalia video na ujifunze mambo mengi pamoja na Caleb.

Somo la 5: Tuende Mu Mahubiri

Sophie iko tayari kuenda mu mahubiri? Angalia video hii, inaweza kukusaidia ujitayarishe pamoja naye.

Somo la 6: Sema Tafazali na Aksanti

Caleb anajifunza kama kusema maneno hayo kunabadilisha kabisa mambo.

Somo la 7: Kutoa Kunaleta Furaha

Kuko njia nyingi za kupatia wengine. Unafikiria mutu fulani?

Somo la 8: Upange Vitu Muzuri

Yehova amepanga muzuri vitu vyote. Ujifunze namna unaweza pia kupanga vitu muzuri!

Somo la 9: “Yehova . . . Aliumba Vitu Vyote”

Unajua Mungu aliumba nani kwanza? Ujifunze pamoja na Caleb namna vitu vilifuatana wakati wa uumbaji.

Somo la 10: Ukuwe na Roho Muzuri na Upatie Wengine

Ona namna Caleb na Sophie wanapata furaha zaidi wakati wanapatiana vitu vyao.

Somo la 11: Ukuwe Tayari Kusamehe

Utamutendea namna gani mutu mwenye anakukosea?

Somo la 12: Caleb na Sophie Wanatembelea Beteli

Muangalie pamoja na Caleb na Sophie picha za wakati walitembelea Beteli. Ona kazi yenye inafanywa kwenye Beteli.

Somo la 13: Yehova Atakusaidia Ukuwe na Ujasiri

Ni nini itakusaidia upate nguvu ya kuambia wengine mambo ya Yehova?

Somo la 14: Tayarisha Majibu Yako

Ni hatua gani ine za kukusaidia kutayarisha majibu ya kutoa kwenye mikutano?

Somo la 15: Usikilize Wakati wa Mikutano

Sababu gani unapaswa kusikiliza na kujifunza wakati wa mikutano?

Somo la 17: Uwalinde watoto wako

Caleb na Sophie wanapata mashauri ya muzuri juu wajilinde.

Somo la 19: Usikuwe Muchoyo

Kwa sababu watu wa Yehova ni wakarimu, hilo linaleta matokeo gani mazuri?

Somo la 20: Useme Kweli

Sababu gani unapaswa kusema kweli sikuzote?

Somo la 18: Heshimia Nyumba ya Yehova

Namna gani unaweza kuonyesha kama unaheshimia kabisa nyumba ya Yehova ya ibada?

Somo la 21: Ujifunze Kuwa Muvumilivu!

Angalia video ili uone ni nini inamusaidia Caleb kuwa muvumilivu.

Somo la 22: Mwanaume Moja kwa Ajili ya Mwanamuke Moja

Mungu ameweka kanuni gani juu ya ndoa, na sababu gani kanuni hiyo ni ya maana?

Somo la 23: Jina la Yehova

Unajua maana ya jina la Mungu?

Somo la 24: Yehova Aliumba Vitu Vingi vya Kushangaza

Mungu aliumba vitu vingi sana vya kushangaza! Weye unapenda kitu gani?

Somo la 25: Kuanzisha Urafiki

Ni nani anaweza kuwa rafiki yako katika kutaniko?

Somo la 26: Zabihu ya Ukombozi

Namna gani zabihu ya Yesu ya ukombozi inatusaidia tangu sasa?

Somo la 27: Ujiwazie mu Paradiso

Unajiwazia mu dunia mupya?

Somo la 28: Vumilia Hata Kama Unatendewa Bila Haki

Namna gani mufano wa Biblia wa Yosefu unaweza kutusaidia kuvumilia wakati tunatendewa bila haki?

Somo la 29: Ukuwe Munyenyekevu

Caleb anajifunza inamaanisha nini kuwa munyenyekevu.

Somo la 30: Vumilia Wakati Unafiwa

Wakati mutu mwenye tunapenda anakufa, ni nini inaweza kutusaidia kuvumilia?

Somo ya 31: Upende Nyumba ya Yehova

Na weye unasaidiaka kusafisha Jumba la Ufalme?

Somo ya 32: Ujitayarishe na Ujiendeshe Muzuri mu Mahubiri

Mbele uende mu mahubiri, kuko mambo tatu yenye unapaswa kujua.

Somo ya 33: Umufurahishe Yehova

Mambo yenye unafanyaka kila siku inaweza kufurahisha moyo wa Yehova.

Somo la 34: Saidia Wengine

Wakati musiba unatokea, unaweza kufanya nini ili kusaidia?

Somo la 35: Utumie Muzuri Wakati Wako

Wakati ni zawadi kutoka kwa Yehova. Unapaswa kuitumikisha muzuri.

Somo la 36: Nizamu Inaonyesha Upendo

Juu ya nini Yehova anapatia nizamu wale wenye anapenda?

Somo la 38: Umupende Jirani Yako

Unaweza kufanya nini ili kupenda jirani yako kama vile Musamaria mwema alifanya?

Sehemu ya Video Ukuwe Rafiki ya Yehova: Yehova Anasameheaka

Ukuwe tayari kuona vile Caleb anapiganisha jaribu yenye itamupata.

Somo ya 40: Yehova Anasameheaka

Kama tunafanya kosa, tunapaswa kuvunjika moyo? Tuone mambo yenye Caleb anajifunza kupitia hadisi moja ya Biblia.

Sehemu ya Ukuwe Rafiki ya Yehova: Yehova anajibiaka Sala?

Ona namna Yehova anajibia sala za Sofia.

Somo ya 43: Yehova Anajibiaka Sala?

Unaweza kusali kwa Yehova juu ya kumuomba akusaidie, na atakusikiliza.

Somo ya 45: Juu ya Nini Tumutii Mungu na Hatuwezi Kumuona?

Hata kama hatuwezi kumuona Mungu, juu ya nini tunamutii? Tuone namna Sophia anajibia ile ulizo.

Somo ya 47: Ni Nani Anapaswa Kuwa Rafiki Yangu?

Yehova anapenda ukuwe na marafiki, lakini namna gani unaweza kupata marafiki wa muzuri?