Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Makosa Yako Ikufundishe

Makosa Yako Ikufundishe

Uchukue ku Enternete:

  1. 1. Nani njo hafanyake

    makosa kabisa?

    kusema kweli

    Hakuna hata mumoya.

    Ukifanya kosa

    Usivunjike moyo.

    Kama unaanguka

    Usibakie nalala chini.

    (REFREE)

    Simama, jikaze,

    Haiko njo mwisho.

    Na ile makosa

    Njo ikufundishe.

    Kamata mukono

    Wa Yehova, na kisha

    Utakuwa nguvu

    Kupita na zamani.

    Ukibadilika.

  2. 2. Ungali na huzuni.

    Lakini hauwezi

    Rudia tena nyuma.

    Maisha ni vile.

    Angalia mbele,

    Usali kwa Yehova,

    Na usome Biblia,

    Itakuongoza kila siku.

    (REFREE)

    Simama, jikaze,

    Haiko njo mwisho.

    Na ile makosa

    Njo ikufundishe.

    Kamata mukono

    Wa Yehova, na kisha

    Utakuwa nguvu

    Kupita na zamani.

    (KILALO)

    Uache kujilaumu,

    Upendo wa Mungu wetu

    Ni mukubwa kuupita

    Moyo wako.

    Badilika.

    (REFREE)

    Simama, jikaze,

    Haiko njo mwisho.

    Na ile makosa

    Njo ikufundishe.

    Kamata mukono

    Wa Yehova, na kisha

    Utakuwa nguvu

    Kupita na zamani.

    Ukibadilika.

    Basi badilika.