MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 7, 2015 | Namna ya Kupiganisha Mahangaiko
Misiba na matatizo vinafikia mamilioni ya watu, lakini watu fulani wanapambana na mambo hayo bila kuhangaika sana kama watu wengine. Namna gani?
HABARI KUBWA
Kila Mahali Kuna Mahangaiko!
Uchunguzi mbalimbali unaonyesha kama hata mahangaiko madogo yanaweza kufanya mutu akufe mbio. Namna gani unaweza kupiganisha mahangaiko?
HABARI KUBWA
Mahangaiko Juu ya Feza
Mwanaume mumoja alitolea familia yake vitu vya lazima hata wakati bei ya vitu ilipanda kufikia mamilioni ya feza.
HABARI KUBWA
Mahangaiko Juu ya Familia
Habari ya mwanamuke mwenye aliachwa na bwana yake, ndoa yake ilivunjika na aliendelea kuishi, inaonyesha ikiwa imani ya kweli inamaanisha kabisa nini.
HABARI KUBWA
Mahangaiko Juu ya Hatari
Namna gani unaweza kupambana na hali ya vita, jeuri, mazingira yenye kuchafuliwa, hali ya hewa yenye kubadilika, na magonjwa yenye kuenea?
BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU
Maisha Yangu Yaliendelea Kuwa Mabaya Sana
Stephen McDowell alikuwa kijana mwenye jeuri, lakini mauaji yenye marafiki zake walifanya yalimuchochea akusudie kubadilisha maisha yake.
Tunaweza Kabisa Kumufurahisha Mungu?
Ayubu, Loti, na Daudi, wote walifanya makosa makubwa; maisha yao yanaweza kutusaidia kupata jibu.
Ulijua?
Majiwe ya kusagia ya mukononi yalitumiwa namna gani wakati wa zamani? Maneno “katika kifua” yanamaanisha nini?
Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Kuna siku watu hawatafanya mambo mabaya?
Usikose Pia Kusoma Habari Hizi
Je, Mungu Atanisaidia Ikiwa Ninasali?
Je, Mungu anahangaikia matatizo yetu?

