MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 6, 2015

Gazeti hili lina habari za kujifunza za tarehe 27 Mwezi wa 7 mupaka tarehe 30 Mwezi wa 8, 2015.

Kristo—Nguvu za Mungu

Miujiza ya Yesu ililetea faida watu wenye waliishi katika Israeli ya zamani, na inaonyesha pia mambo yenye Yesu atafanyia wanadamu hivi karibuni.

Aliwapenda Watu

Miujiza ya Yesu inaonyesha nini kuhusu namna alijisikia?

Tunaweza Kuendelea Kuwa na Mwenendo Safi

Biblia inaonyesha mambo tatu yenye inaweza kutusaidia kupiganisha tamaa mbaya.

“Ikiwa Kingsley Anaweza, Mimi pia Ninaweza!”

Kingsley, wa inchi ya Sri Lanka, alijikaza sana ili aweze kutimiza mugawo wake wa dakika chache tu.

Uishi Kulingana na Sala ya Mufano—Sehemu ya 1

Sababu gani Yesu alianza sala ya mufano kwa kutumia maneno “Baba Yetu” wala si “Baba Yangu”?

Uishi Kulingana na Sala ya Mufano—Sehemu ya 2

Wakati tunamuomba Mungu atupatie mukate wetu kwa ajili ya kila siku, tunaomba mambo mengi zaidi kuliko tu mahitaji yetu ya kimwili.

Muko na Lazima ya “Uvumilivu”

Yehova anakutolea mambo ine yenye inaweza kukusaidia kuvumilia majaribu ao magumu mengine.

Je, Unakumbuka?

Je, umesoma magazeti Munara wa Mulinzi ya hivi karibuni? Jaribu kujibu maulizo yenye unakumbuka.