MUNARA WA MULINZI Na. 4 2016 | Biblia Iliokoka Namna Gani?

Kwa miaka mingi, kulikuwa hatari nyingi zenye zingeweza kuharibu Biblia ao ujumbe wa Biblia. Sababu gani kuokoka kwa Biblia ni jambo la maana sana?

HABARI KUBWA

Historia ya Maana

Hakuna kitabu kingine chenye watu wametumia sana katika mafundisho yao kwa muda murefu kama Biblia. Lakini, Biblia ni kitabu chenye watu wanaweza kutumainia?

HABARI KUBWA

Biblia Iliokoka Hatari ya Kuharibika

Waandikaji wa Biblia na wale wenye kufanya kopi za maandishi ya Biblia walizoea kutumia mafunjo na ngozi za nyama ili kuandika ujumbe wa Biblia. Sababu gani maandishi hayo ya zamani yanapatikana mupaka leo?

HABARI KUBWA

Biblia Iliokoka Hata Kama Kulikuwa Upinzani

Viongozi wengi wa politike na wa dini walijaribu kukataza watu kuwa na Biblia, kuitafsiri, ao kuichapisha. Lakini walishindwa.

HABARI KUBWA

Biblia Iliokoka Hata Kama Watu Walijaribu Kubadilisha Ujumbe Wake

Watu fulani wenye hawako waaminifu walijaribu kubadilisha ujumbe wa Biblia. Namna gani walivumbuliwa na kuzuiwa?

HABARI KUBWA

Sababu Gani Biblia Imeokoka

Ni nini inafanya Biblia ikuwe kitabu cha pekee hivyo?

Ulijua?

Ni jambo gani lenye haliko la kawaida Yesu alifanyia watu wenye ukoma? Ili viongozi wa dini ya Kiyahudi wakubali mutu avunje ndoa, kulipaswa kuwa sababu gani?

Inawezekana Kusikuwe Jeuri Katika Dunia?

Watu wengi wamesaidiwa kuachana na matendo yao yenye jeuri. Jambo lenye liliwasaidia kubadilika, linaweza pia kusaidia wengine.

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

Nilifikia Kuweza Kisha Kushindwa Mara Nyingi

Namna gani mutu mumoja aliweza kushinda utumwa wa pornografia na kupata amani ya akili?

Ni Jambo la Maana Sana Kulinganisha Mambo Unaamini na Biblia

Kuna maelfu ya vikundi vya dini za Kikristo, lakini mafundisho na mawazo ya vikundi hivyo hayapatane. Sasa, namna gani unaweza kujua ni nani mwenye kufundisha kweli?

Biblia Inasema Nini?

Mungu anatumia dini ili watu wamukaribie?