MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 10, 2019

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 2 mupaka tarehe 29, Mwezi wa 12, 2019.

1919​—Kumepita Sasa Miaka Mia Moja

Katika mwaka wa 1919, Yehova alipatia watu wake nguvu za kuhubiri zaidi kuliko zamani. Lakini mbele kipindi hicho kianze, badiliko kubwa lilipaswa kufanywa kuhusu Wanafunzi wa Biblia.

Hukumu za Mungu​—Sikuzote Anaonya Watu Wakati wa Kutosha?

Yehova iko anaonya wakaaji wa dunia juu ya ‘upepo mukali’ wenye kuwa hatari kuliko jambo lolote lenye tunaweza kusikia katika habari kuhusu hali ya hewa. Iko anafanya vile namna gani?

Endelea Kuwa na Mambo Mingi ya Kufanya Katika Sehemu ya Mwisho ya “Siku za Mwisho”

Ni matukio gani yenye itatokea ku mwisho wa “siku za mwisho”? Na Yehova anatuomba tufanye nini wakati tunangojea ile matukio?

Endelea Kuwa Muaminifu Wakati wa “Taabu Kubwa”

Yehova atatuomba tufanye nini wakati wa “taabu kubwa”? Na namna gani tunaweza kujitayarisha leo ili tuendelee kuwa waaminifu?

Yehova Atakutumia Namna Gani?

Zamani, Yehova alipatia watumishi wake hamu na nguvu za kutenda. Namna gani Yehova anatupatia mambo yenye tuko nayo lazima?

Ushikamane na Yehova Tu

Chunguza mambo mbili yenye inaweza kutusaidia tuone ikiwa tunashikamana na Yehova tu ao hapana.