Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

AMUKA!

Ulizo: Leo, filme na programu mbalimbali za televizyo zinaonyesha sana mambo ya mashetani kama vile uchawi na wanyonya-damu. Unawaza nini? Unawaza hayo ni mambo ya kujifurahisha tu, ao kuko hatari fulani?

Namna ya Kutoa: Amuka! hii inaonyesha juu ya nini watu wanapenda sana mambo ya uchawi na pia hatari yenye mambo hayo yanaleta.

FUNDISHA KWELI

Ulizo: Namna gani Ufalme wa Mungu utamaliza magumu ya ulimwengu huu?

Andiko: Mt 6:10

Kweli: Ufalme wa Mungu utaleta amani, umoja na usalama katika dunia, kama vile umefanya huko mbinguni.

UFALME WA MUNGU NI NINI? (Kumurudilia mutu)

Ulizo: [Kazia ulizo lenye kupatikana kwenye ukurasa wa mwisho wa trakte.] Maisha ya watu yatakuwa namna gani wakati Ufalme wa Mungu utaanza kutawala?

Andiko: Zab 37:29; Isa 65:21-23

Namna ya Kutoa: [Umuonyeshe mutu broshua Habari Njema.] Somo la 7 la broshua hii linazungumuzia faida zenye ahadi hizo zinaweza kutuletea. [Anzisha funzo la Biblia kwa kutumia broshua hii.]

ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Ulizo:

Andiko:

Namna ya Kutoa: