Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ADRESI YA JW.ORG

Kutumia JW.ORG Kwenye Chombo cha Kielektroniki

Kutumia JW.ORG Kwenye Chombo cha Kielektroniki

Kurasa zote za internete na namna ya matumizi zenye zinapatikana kwenye ecran kubwa ya ordinateur, zinapatikana pia kwenye telefone na tablette. Hata hivyo, maandishi ya kutafuta (ao menu) na kurasa zimepangwa kwa njia tofauti kwa ajili ya vifaa vidogo vya kubeba na mukuono ili ikuwe mwepesi zaidi kusoma. Habari hii itakusaidia ujue namna ya kutumia jw.org kwenye chombo chako.

 Tumia maandishi ya kutafuta

Kwenye ecran kubwa, sehemu kubwa na maandishi mengine (sous-menu) vinaonekana kwenye mukono wa kushoto wa ecran.

Lakini, kwenye chombo chenye kuwa na ecran ndogo, maandishi yote ya mambo yenye kuwa ndani yanaonekana. Tena, maandishi hayo yanafichama wakati hayatumiwe ili maneno ya kurasa ya internete yaonekane yote kwenye ecran.

  • Finya kwenye Menu ili kuonyesha ukurasa wa kwanza wa sehemu hiyo.

  • Finya Développer la liste ili uone mambo mengine yenye kuwa katika Menu. Finya kwenye Menu ili kufungua ukurasa wa sehemu hiyo.

  • Finya Réduire la liste (punguza liste) ili usione sehemu zingine za menu.

  • Finya JW.ORG ili urudie kwenye ukurasa wa mwanzo.

  • Finya kwenye Sélecteur de langues (ya kuchagua luga) ili uone liste ya luga zenye zinapatikana.

  • Finya Tafuta ili upate vichapo kupitia chombo Recherche sur le site (kutafuta kwenye adresi ya internete).

 Tutumia Habari ao Sura za Kichapo Fulani

Kwenye ecran kubwa, mambo yenye kuwa ndani yanaonekana tu hata kama uko unasoma habari fulani ao sura fulani ya kichapo. Lakini kama ecran ni ndogo, hautaona mambo hayo.

  • Finya Afficher la liste (onyesha liste) ili ionyeshe mambo yenye kuwa ndani na ili uendelee na usomaji wako wa habari ao sura.

  • Finya kwenye sehemu, Précédent (ya mbele) ili uone habari ao sura ya mbele.

  • Finya kwenye sehemu Suivant (ao ya kufuata) ili uone habari ao sura yenye kufuata.

  • Finya Masquer la liste (usionyeshe liste) ili isionyeshe mambo yenye kuwa ndani na ili uendelee na usomaji wako wa habari ao sura.

 Kusoma Biblia Kwenye Internete

Uende kwenye VICHAPO > BIBLIA na ufinye sehemu Lire en ligne (kusoma kwenye internete). Ao finya kwenye kunaandikwa, Soma Biblia Kwenye Internete (Lisez la Bible en ligne) kwenye ukurasa wa mwanzo.

Kupitia kisanduku Barre de navigation ya Biblia chagua kitabu cha Biblia na sura katika liste kisha finya OK.

Wakati unatafuta maandiko katika Biblia, kisanduku chenye vitabu vya Biblia kinabakia kwenye Barre de menu ili ukuwe na urahisi wa kuingia katika sura ingine.

  • Finya sehemu Décrocher (kuiondoa) ili kuondoa Barre de navigation ya Biblia kwenye Barre de menu. Hilo litafanya ukuwe na nafasi kubwa kwenye ecran ili usome maandiko muzuri. Ili kuchagua sura ingine, unapaswa kwanza kutafuta juu ao chini ya ukurasa huo.

  • Finya Accrocher ili kurudisha Barre de navigation ya Biblia kwenye Barre de menu.

  • Finya kwenye Afficher la liste (onyesha liste) ili kuona vitabu vya Biblia.

  • Finya Précédent ili kuona sura zenye ulikuwa umekwisha kusoma.

  • Finya Suivant ili uone sura zenye kufuata.

  • Finya Masquer la liste ili usione kisanduku cha vitabu vya Biblia.

 Sikiliza Kichapo Fulani

Ikiwa kichapo chenye unasoma kinaweza kusikilizwa, Barre de lecture inaonekana.

  • Finya Lecture (soma) ili kuanza kusikiliza.

  • Finya Pause (tua) ili kusimamisha habari hii. Finya tena Lecture (soma) ili uendelee kusikiliza.

  • Tembeza alama ya mukuki (curseur) mbele ao nyuma ili kuenda mahali fulani katika habari yenye unasikiliza.

Kama unaendelea kutembeza mukuki huo wakati umekwisha kuanza kusikiliza habari, Barre de la lecture itabakia kwenye Barre de menu. Ile inasaidia kutia Pause (kutua) na kuendelea tena na habari bila kupoteza mahali kwenye ulifikia katika habari.