Danieli: Mwanaume wa Imani

Danieli iko mbali na kwao, na kule imani na ushikamanifu wake vinajaribiwa. Lakini anaendelea kumutegemea Yehova hata wakati iko mu hali za nguvu sana.

Danieli: Mwanaume wa Imani​—Sehemu ya 1

Danieli atabakia muaminifu kwa Mungu wake Yehova, hata kama iko mbali na familia yake, na wakati muji wake umebomolewa?

Danieli: Mwanaume wa Imani​—Sehemu ya 2

Utawala moja wenye nguvu unatokea. Danieli atapata maadui wengine. Imani yake inajaribiwa mu namna yenye ilikuwaka haiyajaribiwa.

Ona pia...

TEMBEA KWA UHODARI PAMOYA NA MUNGU

Danieli—Aliazimia Kutii Sheria ya Yehova”

Namna gani bijana banaweza kuiga uhodari na uaminifu wa Danieli? Mufano wa Danieli unaweza kutufundisha nini siye bote?