Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 158

Itafika tu!

Itafika tu!

(Habakuki 2:3)

  1. 1. Dunia yetu

    ni ya muzuri;

    Uliiumba

    kwa uvumilivu.

    Na hata kama

    imechafuka,

    Tuko hakika

    utaisafisha.

    (REFREE)

    Ee Yehova, Baba,

    utusaidie

    Ili tuvumilie.

    Siku yako kubwa

    haitachelewa.

    Hata ikikawia,

    Itafika tu!

  2. 2. Uko napenda

    kuwafufua

    Wapendwa wetu

    wenye wamekufa.

    Tunakuomba

    utuwezeshe

    Kuvumilia

    sawa vile weye.

    (REFREE)

    Ee Yehova, Baba,

    utusaidie

    Ili tuvumilie.

    Siku yako kubwa

    haitachelewa.

    Hata ikikawia,

    Itafika tu!

  3. 3. Unatafuta

    watu wazuri

    Na unapenda

    wapate uzima

    Na njo maana

    tunahubiri,

    Na kutumia

    wakati muzuri.

    (REFREE)

    Ee Yehova, Baba,

    utusaidie

    Ili tuvumilie.

    Siku yako kubwa

    haitachelewa.

    Hata ikikawia,

    Itafika tu!

    Baba, tunangojea!

(Ona pia Kol. 1:11.)