WIMBO 158
Itafika tu!
1. Dunia yetu
ni ya muzuri;
Uliiumba
kwa uvumilivu.
Na hata kama
imechafuka,
Tuko hakika
utaisafisha.
(REFREE)
Ee Yehova, Baba,
utusaidie
Ili tuvumilie.
Siku yako kubwa
haitachelewa.
Hata ikikawia,
Itafika tu!
2. Uko napenda
kuwafufua
Wapendwa wetu
wenye wamekufa.
Tunakuomba
utuwezeshe
Kuvumilia
sawa vile weye.
(REFREE)
Ee Yehova, Baba,
utusaidie
Ili tuvumilie.
Siku yako kubwa
haitachelewa.
Hata ikikawia,
Itafika tu!
3. Unatafuta
watu wazuri
Na unapenda
wapate uzima
Na njo maana
tunahubiri,
Na kutumia
wakati muzuri.
(REFREE)
Ee Yehova, Baba,
utusaidie
Ili tuvumilie.
Siku yako kubwa
haitachelewa.
Hata ikikawia,
Itafika tu!
Baba, tunangojea!
(Ona pia Kol. 1:11.)