MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 2, 2013

HABARI KUBWA

Musa Alikuwa Nani?

Mwanaume huyo mwaminifu anaheshimiwa sana na Wakristo, Wayahudi, Waislamu, na watu wa dini zingine. Unajua nini kumuhusu?

HABARI KUBWA

Musa—​Mwanaume Aliyeonyesha Imani Yenye Nguvu

Musa alikuwa na imani yenye nguvu kwa sababu alifanya maamuzi ambayo yalionyesha kwamba aliamini ahadi za Mungu. Namna gani wewe pia unaweza kuwa na imani kama ile ya Musa?

HABARI KUBWA

Musa—Mwanaume Aliyeonyesha Unyenyekevu

Watu wengi wanaona unyenyekevu kuwa ni uzaifu. Namna gani Mungu anaona sifa hiyo? Musa alionyesha unyenyekevu namna gani?

HABARI KUBWA

Musa—Mwanaume Aliyeonyesha Upendo

Musa alionyesha upendo kwa Mungu na kwa Waisraeli wenzake. Tunaweza kujifunza nini juu ya upendo wa Musa?

MUKARIBIE MUNGU

“Yeye Ni Mungu . . . wa Walio Hai”

Mungu ana nguvu za kuondoa kifo kupitia ufufuo. Je, ahadi hiyo ni hakika?

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

“Walitaka Mimi Mwenyewe Nivumbue Mambo Biblia Inasema Kabisa”

Luis Alifonso alitaka kuwa misionere wa kanisa la Mormon. Namna gani kujifunza Biblia kulibadilisha miradi yake na maisha yake?

SIRI YA FURAHA YA FAMILIA

Ikiwa Mutoto Wako Ni Mulemavu

Fikiria matatizo matatu ambayo unaweza kupambana nayo na namna hekima ya Biblia inavyoweza kukusaidia.

“Injili ya Yuda” Ni Nini?

Je, iliandikwa na Yuda, mwanafunzi aliyemusaliti Yesu? Je, inapaswa kubadilisha namna tunavyomuelewa Yesu na mafundisho yake?

Maulizo juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Ikiwa Mungu ndiye aliumba vitu vyote, je, ni yeye pia ndiye alimuumba ibilisi? Chunguza yale ambayo Biblia inasema.