MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 10, 2015

Gazeti hili lina habari za kujifunza za tarehe 30 Mwezi wa 11 mupaka tarehe 27 Mwezi wa 12, 2015.

Unaona Mukono wa Mungu Katika Maisha Yako?

Biblia inamaanisha nini wakati inazungumuzia ‘mukono’ wa Mungu?

‘Utupatie Imani Zaidi’

Inawezekana mutu akomalishe imani yake kwa nguvu zake mwenyewe?

Umutumikie Yehova Bila Kukengeushwa

Karibu miaka 60 yenye imepita, gazeti Munara wa Mulinzi lilisema mambo yenye imeonekana kuwa ya kweli kabisa.

Uendelee Kutafakari Juu ya Mambo ya Kiroho

Je, utaendelea kujilisha kiroho ikiwa hauruhusiwe kuwa na Biblia?

‘Muendelee Kuwaheshimu Sana Watu wa Namna Hiyo’

Wasaidizi wa halmashauri za Baraza Lenye Kuongoza, ni nani? Wanafanya kazi gani?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Kumukaribia Mungu Kumekuwa Kwema Kwangu

Wakati alikuwa na miaka 9, Sarah Maiga hakuendelea kurefuka tena, lakini anaendelea kukomaa kiroho.

‘Mutu Asiye na Uzoefu Anaamini Kila Neno’

Namna gani unaweza kutambua habari za uongo, habari za kujitungia, za kudanganya watu ili kuwaiba, na habari zingine za uongo zenye unaweza kusoma kwenye Internete?