MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 7, 2015

Gazeti hili lina habari za kujifunza za tarehe 31 Mwezi wa 8 mupaka tarehe 27 Mwezi wa 9, 2015.

Saidia Kufanya Paradiso ya Kiroho Ikuwe Muzuri Zaidi

Je, paradiso ya kiroho ni tofauti na hekalu la kiroho? “Paradiso” yenye mutume Paulo aliona katika “mbingu ya tatu” ni nini?

“Ukombozi Wenu Unakaribia”!

Ni ujumbe gani utatangazwa kisha ziki kubwa kuanza? Wakristo watiwa-mafuta watapatwa na nini wakati huo?

Uendelee Kuwa Mwaminifu kwa Ufalme wa Mungu

Namna gani Wakristo wanaweza kujizoeza ili wabaki waaminifu kwa Yehova na Ufalme wake?

Hii Ndiyo Nafasi Yetu ya Kufanyia Ibada

Namna gani tunaweza kuonyesha kwamba tunaheshimu nafasi yetu ya kufanyia ibada? Feza za kusaidia kujenga na kutunza Majumba ya Ufalme zinatoka wapi?

Walijitoa kwa Kujipendea—Katika Urusi

Soma kuhusu bibi na bwana na ndugu, pamoja na ndugu na dada wengine wenye hawajaoa ao kuolewa wenye wamehamia katika inchi ya Urusi ili kutumikia mahali penye kuwa lazima kubwa. Wamejifunza kumutegemea Yehova sana!

Kumutumikia Yehova Katika ‘Siku Zenye Musiba’

Namna gani unaweza kuendelea kuwa na imani yenye nguvu na kuendelea kutenda? Ona namna watumishi wa Yehova wenye kuzeeka wa zamani walimutumikia kwa furaha.