MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 6, 2014

Gazeti hili lina habari za kujifunza tarehe 4 mupaka 31/08/2014.

Fanya Njia ya Miguu Yako Iwe ‘Laini’ ili Ufanye Maendeleo

Namna gani unaweza kuondoa vizuizi na kufikia miradi yako ya kiroho?

Maulizo ya wasomaji wetu

Je, Wakristo Wanaweza Kuchoma Maiti ya Mutu?

Namna ya Kusaidia Ndugu na Dada Ambao Ndoa Zao Zimevunjika

Elewa hali ngumu na namna wale ambao ndoa zao zimevunjika wanavyojisikia.

‘Lazima Umupende Yehova Mungu Wako’

Jifunze yale ambayo Yesu alimaanisha aliposema kwamba tunapaswa kumupenda Yehova kwa moyo, nafsi, na akili yetu yote.

‘Mupende Jirani Yako Kama Wewe Mwenyewe’

Yesu alimaanisha nini aliposema kwamba tunapaswa kumupenda jirani yetu? Namna gani tunaweza kufanya hivyo?

Unakumbuka?

Umesoma kwa uangalifu habari zilizozungumuziwa hivi karibuni katika Munara wa Mulinzi? Jaribu kujibu maulizo ambayo unakumbuka

Maoni ya Yehova Juu Uzaifu wa Wanadamu

Unaweza kuwa na maoni yenye kufaa kuelekea ndugu na dada ambao wanaonekana kuwa zaifu.

Tuwasaidie Wengine Watumie Uwezo Wao Wote

Namna gani tunaweza kuwasaidia vijana ao wale waliobatizwa hivi karibuni wafanye maendeleo?