MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 7, 2013

“Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”

Ni mafasirio gani mapya kuhusu wakati ambapo matukio ya unabii wa Yesu katika sura ya 24 na 25 yatatimia?

“Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”

Mufano wa ngano na magugu unazungumuzia wakati wa kupanda, kukomaa, na kuvuna. Kuna mafasirio gani mapya kuhusu wakati wa mavuno?

Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache

Namna gani Yesu alitolea makutaniko ya wakati wa mitume chakula cha kiroho? Je, anatumia njia hiyo hiyo leo?

‘Ni Nani kwa Kweli Mutumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?’

Habari hii inazungumuzia mafasiriyo mapya kuhusu mutumwa mwaminifu. Jifunze namna mutumwa huyo anavyotusaidia ili tuwe na afya nzuri ya kiroho.

Mushiriki Mupya wa Baraza Linaloongoza

Ndugu Mark Sanderson alianza kutumika kwenye Baraza Linaloongoza tarehe 1 Mwezi wa 9, 2012.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Tulikuwa Tayari Kumutumikia Yehova Kila Mahali

Soma namna bibi na bwana wa Pays-Bas wavyolijifunza kumutumainia sana Yehova ijapokuwa matatizo na mabadiliko mbalimbali.

“Hii Ni Picha Nzuri Kabisa!”

Picha zilizo katika vichapo vyetu zinazotumiwa ili kufundisha zinafanya tufikiri na kuwazia mambo tunayosoma. Namna gani unaweza kufaidika na picha hizo nzuri?