MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 9, 2017

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 23 Mwezi wa 10 mupaka tarehe 26 Mwezi wa 11, 2017.

Komalisha Sifa ya Kujizuia

Namna gani mifano yenye kuzungumuziwa katika Biblia inaweza kutusaidia kukomalisha na kuonyesha sifa hiyo? Sababu gani Wakristo wanapaswa kukomalisha sifa hiyo?

Iga Huruma ya Yehova

Katika hali fulani, Yehova alijifunua kwa Musa kwa kutangaza jina lake na sifa zake. Sifa moja kati ya sifa za kwanza yenye Mungu alitaja ilikuwa sifa ya huruma. Sifa hiyo maana yake nini, na sababu gani inapaswa kukupendeza wewe?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Nimebarikiwa kwa Kutumika Pamoja na Wanaume Wenye Kukomaa Kiroho

David Sinclair anakumbuka furaha na mapendeleo fulani yenye amepata kwa kutumika pamoja na ndugu na dada washikamanifu kwa miaka 61 yenye amefanya kwenye Beteli ya Brooklyn.

“Neno la Mungu Wetu Litadumu” Milele

Tangu Biblia imalizwe kuandikwa ingali kitabu chenye kuuzishwa sana kwa mamia ya miaka, hata kama kulikuwa mabadiliko katika luga na mabadiliko katika mambo ya politike na kupingwa kwa kazi ya kutafsiri Biblia.

‘Neno la Mungu . . . Liko na Nguvu’

Watu wengi wamefanya mabadiliko makubwa kwa sababu ya kujifunza Neno la Mungu. Tunapaswa kufanya nini ili Neno la Mungu likuwe na matokeo katika maisha yetu?

‘Ukuwe Hodari . . . na Utende’

Sababu gani tuko na lazima ya kuonyesha uhodari, na namna gani tunaweza kupata sifa hiyo?