Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 28 Mwezi wa 8–Tarehe 3 Mwezi wa 9

EZEKIELI 39-41

Tarehe 28 Mwezi wa 8–Tarehe 3 Mwezi wa 9
  • Wimbo 107 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Hekalu Lenye Ezekieli Aliona Linatufundisha Nini?”: (Dak. 10)

    • Eze 40:2​—Ibada ya Yehova imewekwa juu kabisa kuliko ibada ingine yoyote (w99 1/3 uku. 11 fu. 16)

    • Eze 40:3, 5​—Yehova atatimiza kabisa-kabisa ahadi yake kuhusu ibada safi (w07 1/8 uku. 10 fu. 2)

    • Eze 40:10, 14, 16​—Ili Yehova akubali ibada yetu, tunapaswa kuishi kulingana na kanuni zake za haki za hali ya juu (w07 1/8 uku. 11 fu. 4)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Eze 39:7​—Wakati watu wanasema kama ukosefu wa haki ni mapenzi ya Mungu, namna gani wanalichafua jina la Mungu? (w12 1/9 uku. 21 fu. 2)

    • Eze 39:9​—Kisha vita ya Armagedoni, watu watafanya nini na silaha za vita zenye mataifa yataacha? (w89 15/8 uku. 14 fu. 20)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Eze 40:32-47

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO