Tarehe 28 Mwezi wa 8–Tarehe 3 Mwezi wa 9
EZEKIELI 39-41
Wimbo 107 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Hekalu Lenye Ezekieli Aliona Linatufundisha Nini?”: (Dak. 10)
Eze 40:2—Ibada ya Yehova imewekwa juu kabisa kuliko ibada ingine yoyote (w99 1/3 uku. 11 fu. 16)
Eze 40:3, 5—Yehova atatimiza kabisa-kabisa ahadi yake kuhusu ibada safi (w07 1/8 uku. 10 fu. 2)
Eze 40:10, 14, 16—Ili Yehova akubali ibada yetu, tunapaswa kuishi kulingana na kanuni zake za haki za hali ya juu (w07 1/8 uku. 11 fu. 4)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Eze 39:7—Wakati watu wanasema kama ukosefu wa haki ni mapenzi ya Mungu, namna gani wanalichafua jina la Mungu? (w12 1/9 uku. 21 fu. 2)
Eze 39:9—Kisha vita ya Armagedoni, watu watafanya nini na silaha za vita zenye mataifa yataacha? (w89 15/8 uku. 14 fu. 20)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Eze 40:32-47
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) fg somo la 1 fungu 1— Uanze kwa kufanya utangulizi wa video Utapenda Kusikia Habari Njema? (lakini musiiangalie) Umuachie mutu broshua.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) fg somo la 1 fungu 2—Umutayarishe mutu ili kumutembelea tena.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) fg somo la 1 fungu 3-4
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 145
“Ni Wakati Gani Nitakuwa pia Painia Musaidizi?”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Kwa Musaada wa Yehova Ninaweza Kufanya Mambo Mengi.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 17 fungu 1-9
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 92 na Sala