Soma habari juu ya Mashahidi wa Yehova ku Enternete. Habari zinapatikana pia kwa ajili ya watu wenye kujua mambo ya sheria na kwa ajili ya watangazaji wa habari.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 2 ya 2020
Angalia hii video ili upate kujua namna Yehova iko anaongoza tengenezo lake mu wakati wa magumu na namna anatutolea wachungaji wenye upendo ili watuhangaikie.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 2 ya 2020
Angalia hii video ili upate kujua namna Yehova iko anaongoza tengenezo lake mu wakati wa magumu na namna anatutolea wachungaji wenye upendo ili watuhangaikie.
Chumba cha Habari kwa Ajili ya Watangazaji wa Habari
Habari, habari mbalimbali, na video zenye kutoa habari za sasa juu ya Mashahidi wa Yehova mu dunia yote.
Mashahidi wa Yehova Katika Venezuela Wanaendelea Kufundisha Watu Biblia Hata Kama Kuko Matatizo ya Feza
Baraza Lenye Kuongoza la Mashahidi wa Yehova linahangaishwa sana hali ya ndugu na dada zetu katika Venezuela wenye kupambana na matatizo ya feza na hali za maisha zenye kuendelea kuharibika.
Ripoti ya 1 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anatutia moyo tuendelee kuwa macho kiroho.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 7 ya 2021
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anatutia moyo tuendeleze umoja wetu.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 9 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anafasiria juu ya nini ni muzuri tuendelee kuwa waangalifu, na namna tunaweza kujilinda juu tusipatwe na coronavirus.
Hakuna Sababu ya Kuogopa Upinzani
Ku mukutano wa kila mwaka wa 2019, Ndugu Mark Sanderson, wa Baraza Yenye Kuongoza, alitoa hotuba yenye kichwa “Tunapaswa Kuogopa Nini?” Mu ile hotuba mulikuwa hii sehemu ya video yenye kuonyesha mambo yenye ndugu na dada zetu wenye walipata upinzani mu Urusi walikutana nayo.
Ripoti ya 3 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anazungumuzia mambo yenye inaweza kutusaidia tusikuwe na wasiwasi sana juu ya vita yenye kupiganwa kule Ulaya ya Mashariki.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 4 ya 2021
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia habari za sasa na ushuhuda mbalimbali wenye kutia moyo. Ule ushuhuda unaonyesha namna Yehova iko anatusaidia “[tutoke] tukiwa tumeshinda kabisa,” hata kama tuko tunapata magumu.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 1 ya 2021
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia ushuhuda mbalimbali yenye kuonyesha matokeo ya muzuri yenye tuko tunapata mu kazi ya kuhubiri, wakati wa ugonjwa wa coronavirus.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 6 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia namna chakula ya kiroho inaendelea kutolewa kwa uwingi hata kama kuko hii ugonjwa wenye kuenea sana.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 5 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia namna Yehova iko anahangaikia watumishi wake kwa upendo mu hiki kipindi cha ugonjwa wa coronas virus.