Habari za Dunia Yote
Ripoti ya 6 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2024
Hii ripoti itatutia moyo tujikaze kuanzisha mafunzo ya Biblia.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 7 ya 2021
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anatutia moyo tuendeleze umoja wetu.
Ripoti ya 6 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2025
Mu hii ripoti, tutaona andiko ya mwaka ya 2026 na wimbo mupya wa pekee.
Ripoti ya 5 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2025
Mu hii ripoti, tutaona kanuni za Biblia zenye zinaweza kutusaidia tukamate maamuzi ya hekima juu ya kuongeza masomo.
Ripoti ya 4 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2024
Mu hii ripoti, tutaona namna ndugu na dada wenye kufungwa juu ya mambo yenye wanaamini ’wanaendelea kushinda uovu kwa wema.’—Waroma 12:21.
Ripoti ya #3 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2025
Mu hii ripoti, tutazungumuzia namna tunaweza kufanya mipango juu ya kuongeza utumishi yetu mu miezi fulani yenye iko nakuya.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 4 ya 2021
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia habari za sasa na ushuhuda mbalimbali wenye kutia moyo. Ule ushuhuda unaonyesha namna Yehova iko anatusaidia “[tutoke] tukiwa tumeshinda kabisa,” hata kama tuko tunapata magumu.
Ripoti ya 2 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2025
Mu hii ripoti, tutazungumuzia mambo yenye tengenezo yetu iko nafanya juu ya kusaidia ndugu na dada wajifunze kusoma na namna zabihu ya Yesu inatuletea amani. Muko pia tangazo kuhusu wimbo mupya yenye tutaimba ku mukusanyiko ya eneo ya 2025.
Ripoti ya 1 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2025
Mu hii ripoti, tutaona namna ya kutumikisha sehemu “Kweli Zenye Tunapendaka Kufundisha”, yenye iko ku Nyongeza ya A ya broshua Penda Watu Juu Ufanye Wanafunzi. Kujifunza zile kweli kutatusaidia kuwa na maongezi ya muzuri sana mu mahubiri.
Ripoti ya 8 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2024
Mu hii ripoti tutazungumuzia namna tunapaswa kutendea bandugu na badada benye tunaonaka mu mavideo yetu.
Ripoti ya 8 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2023
Ona namna tunajipendekeza siye wenyewe kuwa watumishi wa Mungu kupitia namna yetu ya kuvala na kujipamba na namna tunaweza kusaidia mu kutaniko mukuwe umoja.
Ripoti ya 7 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2023
Hii ripoti inazungumuzia kitabu ya mupya yenye kichwa Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo. Inazungumuzia pia andiko ya mwaka wa 2024.
Ripoti ya 6 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2023
Mu hii ripoti, ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anazungumuzia sehemu ya kuuliza maulizo yenye kutia moyo. Mwenye kuulizwa maulizo ni ndugu Negede Teklemariam.
Ripoti ya 5 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2023
Mu hii ripoti, ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anazungumuzia sehemu moya ya kuuliza ndugu Dennis Christensen na bibi yake Irina maulizo. Ile sehemu ni yenye kutia moyo sana.
Ripoti ya 4 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2023
Mu hii ripoti, ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anatupatia hamu ya kuwa ku mikusanyiko yetu ya eneo ya hii mwaka yenye tutafanya uso kwa uso, na anazungumuzia vile Yehova analindaka watu wake kiroho.

