Kiswahili (Congo)
Chumba cha Habari
/assets/ct/fa815d8e9f/images/syn_placeholder_sqr.png

Chumba cha Habari

 

2021-07-25

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 6 ya 2021

Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anatia moyo wenye kuzeeka na anatoa ripoti yenye inahusu kazi ya kujenga majengo yetu ya ibada.

2021-04-21

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 3 ya 2021

Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anatoa ripoti zenye kuonyesha baraka za Yehova mu kazi yetu ya kuhubiri mu hii kipindi ya ugonjwa wa coronavirus.

2017-10-24

URUSI

Mashahidi wa Yehova wa Taganrog Wanashitakiwa Tena—Ukosefu wa Haki Utamalizika Wakati Gani?

Mashahidi wa Yehova 16 wenye kupenda amani wa inchi ya Russie watafungwa kwa sababu wanatangaza imani yao?

2024-03-15

HABARI ZA DUNIA YOTE

Ripoti ya 2 ya Baraza Yenye Kongoza ya 2024

Mu hii ripoti, tutaona namna Yehova, Baba yetu muzuri sana anaonyesha kama “anataka wote wafikie kutubu.” (2 Pe. 3:9) Tutaona pia mabadiliko fulani juu ya namna yetu ya kuvala wakati wa matukio fulani kama vile mikutano, mikusanyiko na mahubiri.

2021-12-17

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 9 ya 2021

Ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza anatutia moyo na anatusaidia tujue namna mambo ilikuwa wakati makutaniko fulani ilianza kukusanyika tena mu Jumba la Ufalme.

2021-03-15

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 2 ya 2021

Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia habari zenye kutia moyo na ushuhuda wenye kuonyesha kama Yehova iko anabariki kazi yenye iko inafanyika ku Beteli mu wakati wa ugonjwa wa coronavirus.

2024-11-12

HABARI ZA DUNIA YOTE

Ripoti ya 7 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2024

Mu hii ripoti, tutasikia mambo yenye iko napata ndugu na dada wa sehemu fulani za dunia na tutafurahia sehemu yenye kutia moyo ya kuuliza maulizo. Wenye kuulizwa maulizo ni ndugu wa sasa wa Baraza Yenye Kuongoza; ndugu Jody Jedele na Jacob Rumph.

2017-10-24

JAMUHURI YA AFRIKA YA KATI

Mashahidi Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati Wanakimbia Vita

Mashahidi wa Yehova wako kati ya maelfu ya watu kutoka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wenye wamekimbilia katika inchi jirani ili kuepuka mapigano ya kikabila na ya kidini.

2025-07-07

HABARI ZA DUNIA YOTE

Ripoti ya #4 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2025

Mu hii ripoti, tutaona kanuni za Biblia zenye zinaweza kutusaidia tukamate maamuzi ya hekima kuhusu matumizi ya bitu fulani na desturi fulani.

2024-05-29

HABARI ZA DUNIA YOTE

Ripoti ya 3 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2024

Mu hii ripoti, tutazungumuzia makanuni ya Biblia yenye inaweza kutuongoza wakati tunataka kukamata maamuzi juu ya namna ya kuvala na kujipamba.

2017-10-24

THAILANDI

Maofisa Katika Inchi ya Thailandi Wanatumia Vichapo vya Mashahidi wa Yehova ili Kusaidia Watu

Kwa miaka tatu yenye imepita, Maofisa wa Thailandi wametumia vichapo vya Mashahidi ili kushugulikia mambo mbalimbali ya wanainchi.

2026-05-12

HABARI ZA DUNIA YOTE

Ripoti ya 3 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2026

Mu iyi ripoti, tutazungumuzia uvumilivu ya bandugu na badada yetu mu Urusi tangu kazi yetu ikatazwe mu ile inchi kumepita sasa miaka kenda. Na tutatangaza kutolewa kwa Epizode ya 4, 5, na 6 ya drama Habari Njema Juu ya Yesu.