Chumba cha Habari
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 5 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia namna Yehova iko anahangaikia watumishi wake kwa upendo mu hiki kipindi cha ugonjwa wa coronas virus.
Hakuna Sababu ya Kuogopa Upinzani
Ku mukutano wa kila mwaka wa 2019, Ndugu Mark Sanderson, wa Baraza Yenye Kuongoza, alitoa hotuba yenye kichwa “Tunapaswa Kuogopa Nini?” Mu ile hotuba mulikuwa hii sehemu ya video yenye kuonyesha mambo yenye ndugu na dada zetu wenye walipata upinzani mu Urusi walikutana nayo.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 4 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia kanuni zenye zitatuongoza wakati tunaamua kurudilia njia yetu ya kawaida ya kufanya utendaji mbalimbali wa kiroho.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 3 ya 2020
Mu hii video, ona namna Yehova alibariki mipango kuhusu hotuba ya pekee na kuhusu Ukumbusho wa kifo cha Yesu.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 2 ya 2020
Angalia hii video ili upate kujua namna Yehova iko anaongoza tengenezo lake mu wakati wa magumu na namna anatutolea wachungaji wenye upendo ili watuhangaikie.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 1 ya 2020
Mu hii video utasikia namna Mashahidi wa Yehova wa inchi ya Korea, Italia na Inchi ya Amerika wako wanapambana na ugonjwa wa kuambukiza wenye kuenea sana.
Misaada Wakati wa Misiba: Kusaidia Ndugu Wakati wa Misiba
Ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza wataendelea kutenda haraka na kutoa muongozo kwa ndugu na dada mu dunia yote wakati wako na lazima ya musaada.
Ripoti ya Ugonjwa wa Coronavirus na Namna Tunaweza Kujilinda
Ona mambo yenye inaweza kukusaidia kama mu eneo yenu muko ugonjwa wa kuambukiza
Kumuuliza Maulizo Ndugu Dmitriy Mikhaylov
Mikhaylov alikamatwa tarehe 29 Mwezi wa 5, 2018. Alifungwa miezi mingi. Wakati aliulizwa maulizo, alionyesha namna Yehova alimusaidia kuvumilia na namna bibi yake alimutegemeza. Alionyesha pia kama kuzungumuza kweli za Biblia na wafungwa wengine ilimusaidia aendelee kuwa na amani na furaha.
Upendo Unaonyeshwa kwa Matendo—Kazi ya Kutoa Musaada mu Visiwa
Video yenye kuwa na habari ya sasa yenye kuonyesha namna Mashahidi wa Yehova walijitolea sana ili kusaidia ndugu zao kisha Upepo Mukali wa Irma na Maria.
Mashahidi wa Yehova Katika Venezuela Wanaendelea Kufundisha Watu Biblia Hata Kama Kuko Matatizo ya Feza
Baraza Lenye Kuongoza la Mashahidi wa Yehova linahangaishwa sana hali ya ndugu na dada zetu katika Venezuela wenye kupambana na matatizo ya feza na hali za maisha zenye kuendelea kuharibika.
Ripoti ya 2 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2026
Mu hii ripoti, tutatoa mwangaza fulani juu ya musimamo yetu kuhusu mutu kutumia damu yake mwenyewe mu matunzo na wakati wa upasuaji.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 5 ya 2021
Ndugu mumoja wa Baraza Yenye Kuongoza anatutia moyo, na pia ndugu na dada mbalimbali wanazungumuzia mambo yenye inasaidia familia ziendelee kuvumilia wakati ya hii ugonjwa.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 10 ya 2021
Mushiriki moya wa Baraza Lenye Kuongoza anatoa habari fulani zenye zinahusu hii kipindi ya Corona na pia anapendekeza njia zenye zinaweza kutusaidia kutumia muzuri wakati wetu.

