Kiswahili (Congo)
Chumba cha Habari
/assets/ct/fa815d8e9f/images/syn_placeholder_sqr.png

Chumba cha Habari

 

2020-07-24

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 5 ya 2020

Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia namna Yehova iko anahangaikia watumishi wake kwa upendo mu hiki kipindi cha ugonjwa wa coronas virus.

2022-01-28

URUSI

Hakuna Sababu ya Kuogopa Upinzani

Ku mukutano wa kila mwaka wa 2019, Ndugu Mark Sanderson, wa Baraza Yenye Kuongoza, alitoa hotuba yenye kichwa “Tunapaswa Kuogopa Nini?” Mu ile hotuba mulikuwa hii sehemu ya video yenye kuonyesha mambo yenye ndugu na dada zetu wenye walipata upinzani mu Urusi walikutana nayo.

2020-06-22

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 4 ya 2020

Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia kanuni zenye zitatuongoza wakati tunaamua kurudilia njia yetu ya kawaida ya kufanya utendaji mbalimbali wa kiroho.

2020-05-15

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 3 ya 2020

Mu hii video, ona namna Yehova alibariki mipango kuhusu hotuba ya pekee na kuhusu Ukumbusho wa kifo cha Yesu.

2020-05-08

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 2 ya 2020

Angalia hii video ili upate kujua namna Yehova iko anaongoza tengenezo lake mu wakati wa magumu na namna anatutolea wachungaji wenye upendo ili watuhangaikie.

2020-05-08

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 1 ya 2020

Mu hii video utasikia namna Mashahidi wa Yehova wa inchi ya Korea, Italia na Inchi ya Amerika wako wanapambana na ugonjwa wa kuambukiza wenye kuenea sana.

2021-12-01

HABARI ZA DUNIA YOTE

Misaada Wakati wa Misiba: Kusaidia Ndugu Wakati wa Misiba

Ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza wataendelea kutenda haraka na kutoa muongozo kwa ndugu na dada mu dunia yote wakati wako na lazima ya musaada.

2022-06-14

HABARI ZA DUNIA YOTE

Ripoti ya Ugonjwa wa Coronavirus na Namna Tunaweza Kujilinda

Ona mambo yenye inaweza kukusaidia kama mu eneo yenu muko ugonjwa wa kuambukiza

2021-01-25

URUSI

Kumuuliza Maulizo Ndugu Dmitriy Mikhaylov

Mikhaylov alikamatwa tarehe 29 Mwezi wa 5, 2018. Alifungwa miezi mingi. Wakati aliulizwa maulizo, alionyesha namna Yehova alimusaidia kuvumilia na namna bibi yake alimutegemeza. Alionyesha pia kama kuzungumuza kweli za Biblia na wafungwa wengine ilimusaidia aendelee kuwa na amani na furaha.

2019-03-15

HABARI ZA DUNIA YOTE

Upendo Unaonyeshwa kwa Matendo​—Kazi ya Kutoa Musaada mu Visiwa

Video yenye kuwa na habari ya sasa yenye kuonyesha namna Mashahidi wa Yehova walijitolea sana ili kusaidia ndugu zao kisha Upepo Mukali wa Irma na Maria.

2017-10-24

VENEZUELA

Mashahidi wa Yehova Katika Venezuela Wanaendelea Kufundisha Watu Biblia Hata Kama Kuko Matatizo ya Feza

Baraza Lenye Kuongoza la Mashahidi wa Yehova linahangaishwa sana hali ya ndugu na dada zetu katika Venezuela wenye kupambana na matatizo ya feza na hali za maisha zenye kuendelea kuharibika.

2026-03-20

HABARI ZA DUNIA YOTE

Ripoti ya 2 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2026

Mu hii ripoti, tutatoa mwangaza fulani juu ya musimamo yetu kuhusu mutu kutumia damu yake mwenyewe mu matunzo na wakati wa upasuaji.

2021-07-25

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 5 ya 2021

Ndugu mumoja wa Baraza Yenye Kuongoza anatutia moyo, na pia ndugu na dada mbalimbali wanazungumuzia mambo yenye inasaidia familia ziendelee kuvumilia wakati ya hii ugonjwa.

2021-12-17

HABARI ZA DUNIA YOTE

Baraza Lenye Kuongoza​—Ripoti ya 10 ya 2021

Mushiriki moya wa Baraza Lenye Kuongoza anatoa habari fulani zenye zinahusu hii kipindi ya Corona na pia anapendekeza njia zenye zinaweza kutusaidia kutumia muzuri wakati wetu.