Chumba cha Habari
Ripoti ya 5 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anazungumuzia mambo yenye ilisaidiaka ndugu na dada wa mu inchi zenye zilikuwa mu Muungano wa Sovieti wavumilie mateso. Anatuhakikishia pia kama Yehova ataendelea kututegemeza.
Ripoti ya 4 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anatutia moyo kuendelea kuvumilia magumu kwa uaminifu na furaha kwa kuiga mufano wa ndugu zetu wa Ulaya ya Mashariki.
Ripoti ya 3 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anazungumuzia mambo yenye inaweza kutusaidia tusikuwe na wasiwasi sana juu ya vita yenye kupiganwa kule Ulaya ya Mashariki.
Ripoti ya 2 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anatoa habari za sasa kuhusu namna ndugu na dada wanaendelea kubakia waaminifu wakati wa magumu.
Ripoti ya 1 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anatutia moyo tuendelee kuwa macho kiroho.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 1 ya 2021
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia ushuhuda mbalimbali yenye kuonyesha matokeo ya muzuri yenye tuko tunapata mu kazi ya kuhubiri, wakati wa ugonjwa wa coronavirus.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 9 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anafasiria juu ya nini ni muzuri tuendelee kuwa waangalifu, na namna tunaweza kujilinda juu tusipatwe na coronavirus.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 8 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anafasiria namna unabii mbalimbali wa Biblia unaweza kutusaidia tuvumilie hii wakati wa huu ugonjwa wa kuambukiza.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 7 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anaonyesha namna vijana wanaweza kupambana na matatizo yenye inaletwa na ugonjwa wa corana virus.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 6 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia namna chakula ya kiroho inaendelea kutolewa kwa uwingi hata kama kuko hii ugonjwa wenye kuenea sana.

