MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 6, 2014 | Mawazo ya Mungu Juu ya Kuvuta Tumbaku
Kujua mawazo Yake kunaweza kukusaidia uache kuvuta tumbaku.
HABARI KUBWA
Tatizo Lenye Kuenea Katika Dunia Yote
Sababu gani tatizo hilo linaendelea hata ikiwa watu wanajikaza sana ili kulipiganisha?
HABARI KUBWA
Mawazo ya Mungu Ni Gani Juu ya Kuvuta Tumbaku?
Biblia haitaje neno tumbaku, sasa tunaweza kujua namna gani?
Umeonja Mukate wa Uzima?
Sababu gani Yesu alisema kwamba yeye ni mukate wa uzima na mukate kutoka mbinguni?
Kuna Tumaini Gani kwa Ajili ya Mababu Zangu?
Biblia inasema kwamba Mungu atawafufua hata watu wasio waadilifu. Sababu gani atafanya hivyo?
Watu Watatu Waliotafuta Kweli Kati ya Mwaka wa 1501 na 1600—Walipata Mambo Gani?
Capito, Cellarius, na Campanus wote walitenda jambo fulani lililofanya wapingane na Kanisa Katoliki na Marekebisho Makubwa ya Kidini.
Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Kusudi la kuumba dunia litatimizwa?
Usikose Pia Kusoma Habari Hizi
Mungu Njo Anatuleteaka Mateso?
Watu wote wanaweza kuteseka, hata watu wenye kumutumikia Mungu. Juu ya nini?

