MAISHA YA MUKRISTO

Ukuwe Munyenyekevu Wakati Wengine Wanakusifu

Ukuwe Munyenyekevu Wakati Wengine Wanakusifu

Wakati fulani, wengine wanaweza kutusifu ao kutupongeza. Ile inaweza kututia moyo kama wanatusifu kutoka mu moyo na kama wako na sababu ya muzuri ya kufanya vile. (Mez 15:23; 31:10, 28) Lakini tunapaswa kuwa waangalifu juu ile isitufanye tuanze kujiona kuwa wa maana kupita wengine ao kuwa na kiburi.

MUANGALIE VIDEO UIGE USHIKAMANIFU WA YESU​—WAKATI ALISIFIWA, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Watu wanaweza kutusifu juu ya mambo gani fulani?

  • Namna gani ndugu walimusifu Serge?

  • Namna gani walimusifu kupita mipaka?

  • Namna ndugu Serge alijibia kwa unyenyekevu, inakufundisha nini?