BUKU YA MUKUTANO UTUMISHI NA MAISHA YA MUKRISTO Mwezi wa 6, 2017
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
Namna ya kutoa gazeti Amuka! na fundisho la kweli la Biblia juu ya zawadi ya uzima. Fuata mifano hiyo ili kuandika namna yako ya kuanzisha mazungumuzo.
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Neno la Yehova Linatimia Hata Katika Mambo Madogo-madogo
Unabii wote wa Yeremia juu ya namna Babiloni ingekamatwa na kubakia bila kukaliwa ulitimia.
MAISHA YA MUKRISTO
Unaamini Kabisa Ahadi za Yehova?
Yoshua alijionea kama maneno yote yenye Yehova aliahidi Waisraeli hayakukosa kutimia. Namna gani tunaweza kutia nguvu imani yetu katika ahadi za Mungu?
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Kuendelea Kungojea Kunatusaidia Tuvumilie
Ni nini ilimusaidia Yeremia aendelee kungojea hata kama aliteswa sana? Tunaweza kujitayarisha namna gani ili kupambana na majaribu ya wakati unaokuja?
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu
Katika maono, Yehova alimupatia Ezekieli kitabu cha kukunjwa na kumuambia akikule. Maono hayo yalimaanisha nini?
MAISHA YA MUKRISTO
Furahia Kutangaza Habari Njema
Wakati fulani inaweza kuwa vigumu kutangaza habari njema ya Ufalme wa Mungu, lakini Mungu anapenda tumutumikie kwa furaha. Namna gani tunaweza kufurahia mugao wetu wa kuhubiri?
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Utatiwa alama ya wokovu?
Maono ya Ezekieli yalitimia mara ya kwanza wakati muji wa Yerusalemu uliharibiwa. Yatatimia namna gani wakati wetu?
MAISHA YA MUKRISTO
Tegemeza Kanuni za Yehova za Mwenendo
Tunapaswa kutegemeza bila woga kanuni za Yehova Mungu za mwenendo. Namna gani? Sababu gani ni jambo la maana sana?