Habari kwa Ajili ya Bakubwa ya Serikali
Mu hii sehemu muko habari za kweli juu ya Mashahidi wa Yehova, kwa ajili ya bakubwa ya serikali.
Biro za Mambo ya Sheria
Hakuna uhusiano wa mwanasheria na client. Hakuna uhusiano hata moya, sawa vile inakuwaka kati ya mwanasheria (avocat) na client wake, yenye inaweza kuanzishwa kama mutu anaongea na departema yetu ya mambo ya sheria ao mwanasheria fulani wa mu departema ya mambo ya sheria. Ni vile ikuwe ile mazungumuzo inafanyika kupitia e-mail ao kwa njia ingine kupitia site yetu.
Hatukuhakikishie kama tutalinda siri. Hatukuhakikishie kama tutalinda siri juu ya mambo yenye unaongea na departema yetu ya mambo ya sheria ao mwanasheria fulani mu ile departema. Ni vile ikuwe mazungumuzo inafanyika kupitia e-mail ao kwa njia ingine kupitia site yetu.