Swahili (Katanga)
Mafundisho ya mu Bible
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1011201/univ/art/1011201_univ_sqr_xl.jpg

Mafundisho ya mu Bible

Bible iko na majibu ya muzuri sana ku maulizo ya lazima ile tunariulizaka mu maisha. Ata kupite miaka ngapi, Bible iko paka na valere. Mu iki kipande, utaona nju ya nini unezi kutumainia Bible, kile unezi kufanya nju ikusaidie, na utaona kama Bible ni ya lazima sana.​—2 Timoteo 3:16, 17.

 

Ile turichakula

MAJIBU YA MAULIZO NJU YA BIBLE

Mungu eko na njina?

Ma tradiksion ya mingi ya Bible iko na njina ya Mungu. Eske unawaza na weye unapashwa kuitumikisha?

MAJIBU YA MAULIZO NJU YA BIBLE

Mungu eko na njina?

Ma tradiksion ya mingi ya Bible iko na njina ya Mungu. Eske unawaza na weye unapashwa kuitumikisha?

Kufunda Bible

Lomba Batemwe baanze kukutembelea

Ubaulize Batemwe de Jeova maulizo yako nju ya Bible, ao ona mambo ya mingi nju yabo.

Bintu bya kutusaidia kufunda Bible

Chakula bintu bya kufunda nabyo Bible bile bitakusaidia ufuraie kufunda Bible.

Bible inezi kukusaidia je?

Amani na furaa

Bible isha kusaidia bantu ba mingi kukombanisha magumu ya kila shiku, kuacha kuwaza sana nju ya mambo ile iko nabaangaisha, kujua maana ya maisha, na kujua nju ya nini tuko naishi.

Kumuamini Mungu

Imani inezi kukusaidia ukuwe na maisha ya muzuri leo na ukuwe na kitumaini kya nguvu nju ya mashiku ile iko nakuya.

Mambo ya kusaidia biyana

Ona vile Bible inezi kusaidia biyana wakati banapata magumu.

Mavideo na bintu bile batoto banezi kufanya

Tumikisha iyi mavideo na bintu bya kufuraisha nju ya kufundisha batoto yako mambo ya Jeova.

Bible inasema nini?

Majibu ya maulizo nju ya Bible

Ona majibu ya Bible ku maulizo nju ya Mungu, Yesu, famiye, mateso na nju ya mambo ingine.