MAFUNDISHO YA MU BIBLE

Amani na furaa

Swahili (Katanga)
Amani na furaa
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1011556/univ/art/1011556_univ_sqr_xl.jpg

Amani na furaa

Kama tunarikuta mu masitwasion ya nguvu, tunezi kuona sa atutapataka tena furaa na amani ya bya kweri. Lakini Bible isha kusaidia bantu ba mingi kukombanisha magumu ya kila shiku, kuacha kuwaza sana nju ya mambo ile iko nabaangaisha, kujua maana ya maisha, na kujua nju ya nini tuko naishi. Na weye Bible inezi kukusaidia ukuwe na furaa.

Kufunda Bible

Nju ya nini ufunde Bible?

Bible isha kusaidia bantu ba mingi sana mu dunia yote bapate majibu ku maulizo ya maana sana ya mu maisha ile na bo barianzaka kujiuliza. Na weye unezi kupenda kuwa mu bale bantu?

Tunafundaka je Bible na bantu?

Mu dunia mujima, banayuwa Batemwe de Jeova nju ya kaji yabo ya kufunda na bantu mambo ya Bible. Ona vile banafanyaka.

Lomba Batemwe baanze kukutembelea

Ubaulize Batemwe de Jeova maulizo yako nju ya Bible, ao ona mambo ya mingi nju yabo.