Tubitabu Munara ya Mulinzi na Amuka!
Bitabu byetu bile binasemea Bible biko mu maluga ya mingi, kuwekamo na maluga ya ba bubu. Kitabu Munara ya Mulinzi inasemea sana abari njema ya Ufalme ya Mungu na inasaidia bantu bamuamini Yesu. Kitabu Amuka! kyo kinaonesha vile tunezi kuishi muzuri ata kama tuko na magumu ya mu iyi dunia, na tena inasaidia bantu bakuwe na confiance mu malako ya Mungu ya kusema ataleta dunia ya sasa mule mutakuwa amani na securité ya bya kweri.

