Ni nini njo inaletaka furaa mu famiye?

Bantu bengine banawazaka asema makuta njo italeta furaa mu famiye, eske bya kweri tu makuta njo inaletaka furaa mu famiye?

Ona jibu

Ona mavideo, maabari ya kuachana-achana, na bingine bya sasa bile biritoka mu iyi mashiku.

Angaria bya sasa

Lomba Batemwe baanze kukutembelea

Ubaulize Batemwe de Jeova maulizo yako nju ya Bible, ao ona mambo ya mingi nju yabo.

Nju ya nini ufunde Bible?

Bible isha kusaidia bantu ba mingi sana mu dunia yote bapate majibu ku maulizo ya maana sana ya mu maisha ile na bo barianzaka kujiuliza. Na weye unezi kupenda kuwa mu bale bantu?

Angaria iyi video

Shiye Batemwe de Jeova tuko ba nani?

Tunatoka mu makabila ya mingi na tunasemaka ma luga ya kuachana-achana. Ata vile, tuko mu kimoya. Tena, tunapendaka kumutukuza Jeova Mungu, ule ariumba bintu byote na kuanjikisha Bible. Tunafanyaka nguvu yetu yote nju ya kumufanana Yesu Kristo na tunashikiaka muzuri sana nju banatuitaka bakristo. Kila temwe anapitishaka wakati ya mingi mu kusaidia bantu bayuwe Bible na ufalme ya Mungu. Banatuyuwa mu njina ya Batemwe de Jeova nju tunekalaka tuko nafundisha bantu nju ya Jeova Mungu na ufalme yake.

Fungula site yetu. Soma Bible ku Enternete. Ufunde kutuyuwa muzuri na mambo ile tunaamini.

 

Two of Jehovah's Witnesses preaching to a man in a rice paddy.