Shiye Batemwe de Jeova tuko ba nani?
Tunatoka mu makabila ya mingi na tunasemaka ma luga ya kuachana-achana. Ata vile, tuko mu kimoya. Tena, tunapendaka kumutukuza Jeova Mungu, ule ariumba bintu byote na kuanjikisha Bible. Tunafanyaka nguvu yetu yote nju ya kumufanana Yesu Kristo na tunashikiaka muzuri sana nju banatuitaka bakristo. Kila temwe anapitishaka wakati ya mingi mu kusaidia bantu bayuwe Bible na ufalme ya Mungu. Banatuyuwa mu njina ya Batemwe de Jeova nju tunekalaka tuko nafundisha bantu nju ya Jeova Mungu na ufalme yake.
Fungula site yetu. Soma Bible ku Enternete. Ufunde kutuyuwa muzuri na mambo ile tunaamini.

