Habari
Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi tunavyoweza kuendelea kukazia fikira Ufalme wa Mungu kuwa suluhisho la kweli la matatizo ya wanadamu.
Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii tutachunguza jinsi ndugu na dada waliofungwa kwa sababu ya imani yao wanavyoendelea “kuushinda uovu kwa wema.”—Waroma 12:21.
Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza kanuni za Biblia zinazotuongoza tunapofanya maamuzi kuhusu mavazi na mapambo.
Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi Baba yetu mwenye upendo, Yehova, anavyoonyesha kwamba ‘anataka wote wafikie toba.” (2 Pet. 3:9) Pia tutajifunza kuhusu marekebisho kuhusu mavazi yetu kwenye matukio ya kitheokrasi.
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Jifunze jinsi kuwapenda watu kunavyotufanya tuwe na bidii katika huduma yetu.
Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Jifunze jinsi tunavyoweza kujipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu kupitia maamuzi tunayofanya kuhusu mavazi na mapambo na jinsi tunavyoweza kuendeleza umoja kutanikoni.
Ripoti ya 7 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Jifunze kuhusu chapisho jipya lenye kichwa Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo na pia andiko la mwaka wa 2024.
Ripoti ya 6 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anashiriki mahojiano yenye kutia moyo ya Negede Teklemariam.
Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anashiriki mahojiano yenye kutia moyo ya Dennis na Irina Christensen.
Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Katika ripoti hii, mshiriki wa Baraza Linaloongoza anachochea hamu yetu ya kuhudhuria makusanyiko uso kwa uso na pia anazungumzia jinsi Yehova anavyowalinda watu wake.
Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Mshiriki wa Baraza Linaloongoza anasimulia jinsi ndugu na dada zetu wanavyomfanya Yehova kuwa kimbilio lao licha ya majaribu au misiba.
Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Mshiriki wa Baraza Linaloongoza anaeleza habari za karibuni zaidi kuhusu ndugu zetu nchini Uturuki na pia kuna mahojiano yenye kutia moyo.
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Tunakutia moyo kutazama ripoti hii ili usikie matangazo yenye kusisimua kuhusu mradi wa Ramapo na kuhusu utendaji wa mapainia wetu.
Hatupaswi Kuogopa Mnyanyaso
Wakati wa mkutano wa kila mwaka wa 2019, Ndugu Mark Sanderson wa Baraza Linaloongoza alitoa hotuba yenye kichwa “Tunapaswa Kuogopa Nini?” Hotuba hiyo ilitia ndani kisehemu hiki cha video iliyo na masimulizi kutoka kwa baadhi ya ndugu na dada ambao wameteswa nchini Urusi.
Mahojiano Pamoja na Ndugu Dmitriy Mikhaylov
Ndugu Mikhaylov alikamatwa Mei 29, 2018. Alikaa kizuizini kwa miezi kadhaa. Katika mahojiano, anasimulia jinsi alivyovumilia kwa msaada wa Yehova, na pia wa mke wake mwaminifu. Pia anaeleza jinsi kuwaeleza wafungwa wengine kweli za Biblia kulivyomsaidia kudumisha amani na shangwe yake.

