Habari
TAARIFA ZA HABARI
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2026
Katika ripoti hii, tutazungumzia mwongozo mpya wa jinsi ya kuongoza mafunzo ya Biblia yenye matokeo kwa kutumia kitabu Furahia Maisha Milele!
TAARIFA ZA HABARI
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2026
Katika ripoti hii, tutazungumzia mwongozo mpya wa jinsi ya kuongoza mafunzo ya Biblia yenye matokeo kwa kutumia kitabu Furahia Maisha Milele!
Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2025
Katika ripoti hii, tutafurahi kuwaeleza jinsi ambavyo ndugu na dada zetu wamefurahia kutazama mfululizo wa video ya Habari Njema Kulingana na Yesu.
Ripoti ya 7 ya Baraza Linaloongoza ya 2025
Katika ripoti hii, tutazungumzia mambo makuu katika Ripoti ya Mwaka wa Utumishi wa 2025 na jinsi ambavyo Yehova amebariki kazi yetu inayofanywa ulimwenguni pote.
Ripoti ya 6 ya Baraza Linaloongoza ya 2025
Katika ripoti hii, tutatangaza andiko la mwaka wa 2026 na wimbo mpya uliotungwa.
Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2025
Katika ripoti hii, tutazungumzia kanuni za Biblia ambazo zinaweza kutusaidia kufanya maamuzi yenye hekima kuhusu elimu ya ziada.
Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2025
Katika ripoti hii, tutazungumzia kanuni za Biblia zinazoweza kutusaidia kufanya maamuzi mazuri kuhusu matumizi ya ishara mbalimbali na kushiriki katika desturi fulani.
Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2025
Katika ripoti hii, tutazungumzia jinsi tunavyoweza kufanya mipango ya kuongeza utendaji wetu wa kiroho katika miezi michache ijayo.
Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2025
Katika ripoti hii, tutazungumzia hatua ya hivi karibuni ambayo tengenezo letu imechukua ili kuwasaidia watu kujifunza kusoma na kuandika. Pia, tutajifunza kuhusu amani ambayo dhabihu ya fidia ya Yesu hutoa. Mwishowe, tutafurahi kusikia tangazo kuhusu wimbo mpya wa kusanyiko la eneo la mwaka wa 2025.
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2025
Katika ripoti hii, tutajifunza jinsi tunavyoweza kutumia sehemu ya “Kweli Tunazopenda Kufundisha” kwenye Nyongeza A ya broshua Wapende Watu—Fanya Wanafunzi. Kujifunza kweli hizo kutatusaidia kuwa na mazungumzo yenye matokeo katika huduma.
Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi tunavyoweza kuwa na maoni yenye usawaziko kuwahusu ndugu na dada wanaotumiwa katika video zetu.
Ripoti ya 7 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutasikia kuhusu hali ya ndugu na dada zetu katika sehemu mbalimbali ulimwenguni, na pia tutafurahia mahojiano yenye kutia moyo pamoja na washiriki wapya wa Baraza Linaloongoza, Ndugu Jody Jedele na Ndugu Jacob Rumph.
Ripoti ya 6 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii tutachunguza jinsi tunavyoweza kuendelea kukazia fikira kuanzisha mafunzo ya Biblia.
Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi tunavyoweza kuendelea kukazia fikira Ufalme wa Mungu kuwa suluhisho la kweli la matatizo ya wanadamu.
Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii tutachunguza jinsi ndugu na dada waliofungwa kwa sababu ya imani yao wanavyoendelea “kuushinda uovu kwa wema.”—Waroma 12:21.
Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza kanuni za Biblia zinazotuongoza tunapofanya maamuzi kuhusu mavazi na mapambo.

