Lugha ya Alama ya Tanzania
Mafundisho ya Biblia
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1011201/univ/art/1011201_univ_sqr_xl.jpg

Mafundisho ya Biblia

Biblia inatoa mashauri bora zaidi katika maisha, hasa kuhusiana na maswali magumu. Thamani yake imethibitika kwa karne nyingi. Habari hii itakusaidia kuona jinsi mashauri ya Biblia yalivyo yenye thamani.—2 Timotheo 3:16, 17.

Zinazoangaziwa

MAJIBU YA MASWALI YA BIBLIA

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutoa Mimba?

Uhai wa mwanadamu unaanza wakati gani? Je, Mungu atamsamehe mtu ambaye alitoa mimba?

MAJIBU YA MASWALI YA BIBLIA

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutoa Mimba?

Uhai wa mwanadamu unaanza wakati gani? Je, Mungu atamsamehe mtu ambaye alitoa mimba?

Study the Bible

Jaribu Funzo Letu la Biblia

Pata mafunzo ya Biblia ukiongozwa na mwalimu.

Tuma Ombi la Kutembelewa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza kujifunza habari fulani inayotegemea Biblia au ushiriki mpango wa kujifunza Biblia bure pamoja na Mashahidi wa Yehova.

Vifaa vya Kujifunzia Biblia

Chagua habari za kujifunzia Biblia zitakazofanya funzo lako liwe lenye kuridhisha na lenye kuchochea.

How Can the Bible Help You?

Amani na Furaha

Biblia imewasaidia watu wengi kukabiliana na mikazo ya kila siku, kupunguza mkazo wa kimwili na kihisia, na kupata maana na kusudi maishani.

Ndoa na Familia

Wenzi wa ndoa na washiriki wa familia wanakabili changamoto nyingi. Ushauri wa Biblia unaweza kuboresha na kuimarisha uhusiano katika familia.

Msaada kwa Ajili ya Matineja

Jifunze jinsi Biblia inavyoweza kuwasaidia matineja kukabiliana na changamoto wanazokabili mara nyingi.

Mazoezi ya Watoto

Tumia mazoezi haya yenye kufurahisha yanayotegemea Biblia kuwafundisha watoto wako kanuni za kiroho.

What Does the Bible Say?

Majibu ya Maswali ya Biblia

Jifunze majibu ya Biblia ya maswali kuhusu Mungu, Yesu, familia, kuteseka, na maswali mengine.

Sayansi na Biblia

Je, Biblia inapatana na sayansi? Kulinganisha kile ambacho Biblia inasema na uvumbuzi wa wanasayansi kunafunua mengi.