Namna Gani Tunaweza Kuwa Hakika Kama Biblia Inasema Kweli?

Namna Gani Tunaweza Kuwa Hakika Kama Biblia Inasema Kweli?

Biblia yenyewe inasema kama ni “neno la Mungu” na kama Mungu ‘hawezi kusema uwongo.’ (1 Wathesalonike 2:​13; Tito 1:2) Ni kweli kabisa? Ao inajaa tu mambo ya kuwazia-wazia?