Sikiliza Majibu ya hii Maulizo

Sikiliza Majibu ya hii Maulizo
  1. 1. Namna gani tunaweza kutambua marafiki wa amani? (Lu. 10:6)

  2. 2. Namna gani tunaweza kusaidia marafiki wa amani wakuwe marafiki wa Mungu? (Mt. 10:11)

  3. 3. Namna gani Mukubwa wa Amani anatusaidia kupata marafiki wa amani? (Isa. 9:6, 7; Mt. 28:20)

  4. 4. Namna gani tunaweza kuonyesha kama tuko marafiki wa amani? (Zb. 11:5; 2 Ti. 2:24; Yak. 3:17, 18)

  5. 5. Namna gani marafiki wa amani wanasaidianaka? (2 Ko. 6:13)

  6. 6. Namna gani tunaweza ‘kuendelea kushinda uovu kwa wema’? (Ro. 12:2, 6, 10, 18)

© 2022 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

CA-brpgm23-ZS