Utafute Majibu ya hii Maulizo:

Utafute Majibu ya hii Maulizo:
  1. 1. Namna gani tunaweza ‘kusikia mambo yenye roho inasema’? (Ufu. 1:​3, 10, 11; 3:19)

  2. 2. Nini njo itatusaidia tuendelee kutumika sana na kuvumilia? (Ufu. 2:4)

  3. 3. Namna gani tunaweza kujitayarisha juu ya kuvumilia upinzani kwa uhodari? (Mez. 29:25; Ufu. 2:​10, 11)

  4. 4. Namna gani tunaweza kuepuka kukana imani yetu kwa Yesu? (Ufu. 2:​12-16)

  5. 5. Namna gani tunaweza kuendelea kushika sana kile kyenye tuko nakyo? (Ufu. 2:​24, 25; 3:​1-3, 7, 8, 10, 11)

  6. 6. Nini njo itatusaidia tuendelee kuwa na bidii? (Ufu. 3:​14-19; Mt. 6:​25-27, 31-33)

© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

CA-brpgm26-ZS