Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

AMUKA! Na. 2 2020 | Majibu ya Maulizo 5 Kuhusu Mateso

Kwa kiasi fulani, kila mutu alishaka kupatwa na mateso; inaweza kuwa ugonjwa, aksidenti, musiba wa asili, ao kutendewa kwa njia ya jeuri.

Watu wanapenda kujua sababu gani wanateseka.

  • Wamoja wanasema kama mateso ni jambo fulani lenye lilishaka kupangwa ao wanasema kama hakuna jambo lolote lenye tunaweza kufanya ili kuepuka mateso.

  • Wengine wanaamini kama tunateseka kwa sababu ya mambo fulani ya mubaya yenye tumetoka tu kufanya mu maisha ya sasa ao yenye tulifanyaka mu maisha ya zamani.

Mara mingi mateso inafanya watu wajiulize maulizo mingi.

Mambo Yenye Watu Fulani Wanaamini

Linganisha mawazo yenye dini mbalimbali ziko nayo kuhusu sababu zenye zinafanya tuteseke.

1 Mungu Njo Anatuleteaka Mateso?

Watu wamedanganywa na mafundisho yenye inamusemea Mungu uongo. Kweli njo ya wapi?

2 Sisi Njo Tunajileteaka Mateso?

Kama jibu ni ndiyo, basi tunaweza kupunguza mateso yetu.

3 Juu ya Nini Watu Wazuri Wanateseka?

Biblia inatusaidia kuelewa jibu.

4 Mungu Alituumba Juu Tuteseke?

Je, Mungu mwenye aliumba vitu vyenye kupendeza vile mu ulimwengu, anaweza kututakia maisha ya kuteseka? Kama jibu ni hapana, juu ya nini kuko mateso?

5 Mateso Itaishaka?

Biblia inatuambia waziwazi namna Mungu atamaliza mateso.

Unaweza Kupata Musaada

Hata kama inaonekana kuwa magumu yetu haiwezi kuisha, kuko kitabu chenye kutegemeka chenye kinaweza kutusaidia.