Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAROMA 7-8

Uko “Unangojea na Kutazamia kwa Hamu?

Uko “Unangojea na Kutazamia kwa Hamu?

8:19-21

  • “Uumbaji” ni wanadamu wenye wako na tumaini ya kuishi ku dunia

  • “Kufunuliwa kwa wana wa Mungu” ni wakati watiwa-mafuta watatumika na Kristo ili kuharibu mupangilio muovu wa mambo wa Shetani

  • “Musingi wa tumaini” ni ahadi ya Yehova ya kuokoa wanadamu kupitia kifo na ufufuo wa Yesu

  • “[Uumbaji] utawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu” maana yake utakombolewa hatua kwa hatua kutokana na matokeo ya zambi na kifo