2015 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
Soma kuhusu kazi ambayo Mashahidi wa Yehova wametimiza katika mwaka wa 2014, na ujifunze historia ya Mashahidi katika Jamhuri ya Dominika.
Andiko la Mwaka wa 2015
Andiko letu la mwaka wa 2015 ni Zaburi 106:1: “Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema.”
Barua Kutoka Baraza Linaloongoza
Baraza Linaloongoza linawashukuru Mashahidi wote wa Yehova ulimwenguni kwa kazi yao ya uaminifu, kazi yao ya jasho, na uvumilivu.
Maendeleo ya Haraka Huko Warwick
Furahia kuona eneo la ujenzi la makao makuu mapya ya Mashahidi wa Yehova.
Idara ya Ulimwenguni Pote ya Usanifu-Majengo na Ujenzi
Idara hii mpya ina daraka muhimu la kuharakisha kazi ya ujenzi wa majengo zaidi ya 13,000.
Biblia Iliyotengenezwa Ili Idumu
Biblia Takatifu
Mkutano Mkubwa Zaidi wa Mashahidi wa Yehova
Umati ulikusanyika ili kusikiliza mkutano wa kila mwaka uliorekodiwa wa Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.
Kuweka Wakfu Ofisi ya Tawi ya Sri Lanka
Programu hiyo ilipeperushwa kwa Intaneti kwa njia ya pekee sana.
Ripoti ya Mambo ya Kisheria
Mashahidi wa Yehova wanaendelea kupigania haki yao ya uhuru wa kuabudu.
Habari Fupi —Kutoka Sehemu Mbalimbali Ulimwenguni
Ni nini kilichowachochea wasichana wawili wadogo kutoka Georgia kutoa mchango wa pesa walizotaka kununulia simu yao ya mkononi?
“Tumeona Maajabu Leo”
Ni matukio gani ya kisasa yanayoweza kulinganishwa na miujiza aliyofanya Yesu alipokuwa duniani?
Afrika
Soma kuhusu matukio muhimu ya kazi ya Mashahidi wa Yehova ya kuwafundisha watu Biblia nchini Afrika Kusini, Angola, Ghana, Kongo (Kinshasa), na Nigeria katika mwaka wa 2014.
Amerika
Soma kuhusu matukio muhimu ya kazi ya Mashahidi wa Yehova ya kuwafundisha watu Biblia nchini Argentina, Brazili, Haiti, Paraguai, na Suriname katika mwaka wa 2014.
Asia na Mashariki ya Kati
Soma kuhusu matukio muhimu ya kazi ya Mashahidi wa Yehova ya kuwafundisha watu Biblia nchini Filipino, Indonesia, Mongolia, na nchi nyingine Barani Asia katika mwaka wa 2014.
Ulaya
Soma kuhusu matukio muhimu ya kazi ya Mashahidi wa Yehova ya kuwafundisha watu Biblia nchini Bulgaria, Finland, Hispania, Rumania, Sweden, Ujerumani, na Urusi katika mwaka wa 2014.
Oceania
Soma kuhusu matukio muhimu ya kazi ya Mashahidi wa Yehova ya kuwafundisha watu Biblia kwenye visiwa vya Kiribati, Papua New Guinea, Vanuatu na Visiwa vya Marshall katika mwaka wa 2014.
Maelezo Mafupi Kuhusu Jamhuri ya Dominika
Pata habari kuhusu nchi hiyo na wakazi wake.
Ugunduzi
Iliwachukua muda gani wamishonari wa kwanza katika Jamhuri ya Dominika kupata funzo la Biblia?
“Siku Moja Tutawapata”
Baada ya kuwatafuta kwa miaka 13, Pablo González alikutana na wale aliokuwa akiwatafuta.
Wafungwa na Kupigwa Marufuku
Baadhi ya Mashahidi waliwezaje kuvumilia miaka mingi ya mateso makali gerezani?
Kazi ya Kuhubiri Yaendelea
Badala ya kuripoti ziara za kurudia na saa, wahubiri waliandika orodha ya bidhaa iliyotia ndani kabeji na spinachi.
Uhuru, Kisha Marufuku
Marufuku ya miaka sita dhidi ya Mashahidi wa Yehova katika Jamhuri ya Dominika iliondolewa mwaka wa 1956, kisha wakapigwa marufuku tena baada ya miezi 11.
Kanisa Katoliki na Trujillo
Baada ya kumuunga mkono kwa muda mrefu dikteta wa Dominika, Kanisa lilibadili msimamo na pia likawaomba msamaha raia wa Dominika.
Mashambulizi Makali
Mashahidi walishambuliwa vikali, je, walishindwa?
Kiongozi Ni Nani?
Mashine ya fotokopi, debe la mafuta ya kupikia, gunia, na mihogo iliyotumika kuandaa na kusambaza chakula cha kiroho wakati wa marufuku.
Hatari ya Kukamatwa
Ingawa mikutano yao ilipigwa marufuku, Mashahidi katika Jamhuri ya Dominika walitumia mbinu mbalimbali ili kukusanyika na kuepuka kukamatwa.
Uvumilivu Waleta Kitulizo
Baada ya miaka mingi ya kupingwa na serikali, Mashahidi katika Jamhuri ya Dominika walipata msaada kutoka chanzo kisichotarajiwa.
“Nilipambana Kama Simba”
Luis Eduardo Montás, ambaye mara mbili alijaribu kumuua dikteta wa nchi yake, alipata kweli ya Biblia alipokuwa akitafuta msaada ili kufanya mauaji.
“Tumaini la Ufalme Si Ndoto”
Efraín De La Cruz alifungwa na kupigwa vibaya katika magereza saba tofauti kwa sababu ya kuhubiri habari njema. Ni nini kilichomsaidia kudumisha bidii yake kwa zaidi ya miaka 60?
“Nitaendelea Kuwa Shahidi wa Yehova”
Ingawa kasisi alimwonya kwamba angerukwa na akili ikiwa angesoma Biblia, Mary Glass aliisoma na kugundua kwa nini alikatazwa kuisoma.
Uhuru wa Kuhubiri
Baada ya Trujillo kuuawa, wamishonari zaidi waliwasili na kuanza kuhubiri. Hatua kwa hatua, walifanikiwa kutokomeza chuki iliyoenezwa dhidi ya Mashahidi wa Yehova.
Watadumu
Kazi ya kuhubiri ilisonga mbele licha ya misukosuko ya kisiasa. Ni nini kilichoonyesha wazi kwamba Mashahidi wa Yehova “watadumu” katika Jamhuri ya Domanika?
Wahubiri Zaidi Wahitajika
Historia ya watu wa Yehova katika Jamhuri ya Dominika haitakamilika bila kuzungumzia idadi kubwa ya Mashahidi ambao wamehamia katika nchi hiyo yenye uhitaji mkubwa.
Wanawapenda Ndugu Zao
Baada ya Kimbunga Georges kuikumba Jamhuri ya Dominika mwaka wa 1998, jitihada za upendo za Mashahidi ziliwasaidia wengi na kumletea sifa Yehova Mungu.
Kushughulikia Ongezeko
Idadi yao ilipoongezeka, Mashahidi walifanya nini ili kuhakikisha kulikuwa na majengo ya kutosha ya ibada, na pia ndugu wakomavu wanaoweza kuongoza mambo?
Kuwahubiria Watu Wanaozungumza Kikrioli cha Haiti
Mashahidi wa Yehova wanawahubiria ujumbe wa Ufalme watu wanaozungumza Kikrioli cha Haiti. Baada ya muda makutaniko huanzishwa na watu wanafundishwa lugha hiyo.
Tetemeko la Ardhi Nchini Haiti
Ofisi ya tawi ya Mashahidi wa Yehova katika Jamhuri ya Dominika ilitoa msaada mkubwa kufuatia tetemeko la ardhi nchini Haiti mwaka wa 2010. Watu wengi sana walijitolea kusaidia.
Matarajio Yenye Kusisimua
Kazi ya kuhubiri na kufundisha katika Jamhuri ya Dominika ilianza mwaka wa 1945. Kuna kila sababu ya kutarajia mambo mazuri.
Yehova Amefungua Mioyo ya Watu Wengi
Leonardo Amor alipohubiri jijini La Vega hakuna mtu aliyekubali kweli za Biblia. Je, watu hao wangebadilika?
“Watu Ishirini na Wawili Waliliacha Kanisa”
Ilisemwa kwamba Mashahidi wa Yehova walikuwa wakiwapotosha wakazi wa mjini kwa ‘mafundisho ya kishetani.’ Badala yake, Mashahidi walitumia Biblia kutoa majibu yenye kuridhisha kwa maswali ya watu.
Aliyepinga Kuwapo kwa Mungu Awa Mtumishi wa Mungu
Juan Crispín alipinga kuwapo kwa Mungu na kudhani kwamba mageuzi ndiyo yangeboresha ulimwengu. Ni nini kilichomgeuza na kumfanya awe mtumishi wa Mungu?
Kiziwi wa Kwanza Kukubali Kweli
José Pérez alikuwa Shahidi kiziwi wa kwanza katika Jamhuri ya Dominika. Aliwezaje “kusikia” ujumbe wa Biblia na kuelewa kwa kina mafundisho hayo?
Kutafuta Kusudi la Maisha
José Estévez na familia yake walipata kusudi halisi la maisha. Wamejioneaje ukweli wa kwamba Yehova ni Mtimizaji wa ahadi zake?
Nilitaka Kuacha Kumtumikia Mungu
Ingawa Martín Paredes alikuwa akisomea ukasisi, alitaka kuacha kumtumikia Mungu. Kitabu alichoazima kwa mhasibu wa seminari kilibadilije mtazamo wake?
Miaka Mia Moja Iliyopita —1915
Mashahidi wa Yehova walikabiliana na kipindi cha majaribu baada ya mwaka 1914?

