“Kila mtu kati yenu anapaswa kumpenda mke wake kama anavyojipenda mwenyewe; [naye] mke anapaswa kumheshimu sana mume wake.”—Waefeso 5:33.
Biblia inasema kwamba
-
Mume na mke wanapaswa kuwa waaminifu.—Mathayo 19:4-6.
-
Watoto wanaowaheshimu na kuwatii wazazi wao watafanikiwa.—Waefeso 6:1-3.
Ili ujifunze mengi zaidi, tembelea tovuti ya jw.org/sw

