NYIMBO ZILIZOTUNGWA

Tunakuthamini, Dada Mpendwa

Kiswahili
Tunakuthamini, Dada Mpendwa
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/502900119/univ/art/502900119_univ_sqr_xl.jpg

Tunakuthamini, Dada Mpendwa

Tunakuthamini, Dada Mpendwa

Pakua:

  1. 1. Wewe dada yangu mwenye thamani

    Ninachochewa na imani uliyo nayo.

    Ninavutiwa na kazi zako

    Imefanya nikuimbie wimbo huu.

    (KIBWAGIZO)

    Unapochoka maneno ya wimbo,

    Yakufariji.

    (KORASI)

    Dada mpendwa,

    Twaona bidii yako.

    Watabasamu

    Licha ya magumu yako.

    Laiti ungejiona mwenyewe,

    Basi ungejua kwamba.

    Twakuthamini.

  2. 2. Usaidiapo wewe hujigambi

    Licha ya mengi unayofanya kwa wengine.

    Ukitoa Zawadi hujisifu.

    Unachochea wengine wawe wa’minifu.

    (KIBWAGIZO)

    Usifikiri Imani yako bure

    Yatuchochea.

    (KORASI)

    Dada mpendwa,

    Twaona bidii yako.

    Watabasamu

    Licha ya magumu yako.

    Laiti ungejiona mwenyewe,

    Basi ungejua kwamba.

    Twakuthamini.

    (DARAJA)

    Yehova anakuona.

    Anajua wewe ni wa thamani

    Watumikia wengine.

    (KORASI)

    Dada mpendwa,

    Twaona bidii yako.

    Watabasamu

    Licha ya magumu yako.

    Laiti ungejiona mwenyewe,

    Basi ungejua kwamba.

    Twakuthamini.

    (MWISHO)

    Twataka uwe na shangwe.

    Yehova hatasahau.

    Dada Mpendwa.

    Mpendwa, Tunakuthamini.

    Twakuthamini.