Kiswahili
Baba Yangu, Mungu Wangu, Rafiki Yangu (Wimbo Na. 30)
/assets/ct/28ada02fb0/images/syn_placeholder_sqr.png
sjj wimbo na. 30

WIMBO NA. 30

Baba Yangu, Mungu Wangu, Rafiki Yangu

Baba Yangu, Mungu Wangu, Rafiki Yangu

(Waebrania 6:10)

  1. 1. Maisha ni magumu.

    Naumia, ninateseka.

    Lakini ninajua,

    “Maisha si bure.”

    (KORASI)

    Mungu ni mwadilifu,

    Upendo wangu akumbuka.

    Hataniacha kamwe,

    Mungu wangu yuko nami.

    Ndiye huniruzuku

    na kunilinda sikuzote.

    Baba yangu, Mungu wangu,

    na Rafiki.

  2. 2. Miaka imesonga;

    Nguvu zangu zimepungua.

    Kwa imani naona,

    Tumaini langu.

    (KORASI)

    Mungu ni mwadilifu,

    Upendo wangu akumbuka.

    Hataniacha kamwe,

    Mungu wangu yuko nami.

    Ndiye huniruzuku

    na kunilinda sikuzote.

    Baba yangu, Mungu wangu,

    na Rafiki.

(Ona pia Zab. 71:​17, 18.)